ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Nipe source ya hii kitu nikaichambue mwenyewe, mna stress sana hamkawii kutengeneza visheria vyenu vya uchochoroni ili mjiliwaze.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe source ya hii kitu nikaichambue mwenyewe, mna stress sana hamkawii kutengeneza visheria vyenu vya uchochoroni ili mjiliwaze.
Sheria inasema hivi mkuu:Deflection ta nani? kama ni opposition player inavunjwa iko hivyo dunia nzima, wacheni kulialia, hamjiamini mnatetemekaa
Nimecheck mkuu, ni kweli clear offside. Mwanzoni nilivyocheki replay nilidhani wakwanza kuucheza mpira ni mchezaji wa Simba ambaye alikuwa onside. Kumbe umemgonga beki wa Mbeya kwanza. Ni offside tu pale ambapo mpira umemgonga beki wa Mbeya kwanza ila sio offside endapo beki wa Mbeya kwanza kaucheza mpira.Nipe tafsiri hapa mkuuView attachment 2110671
Swali zuri mkuuSo if a defender plays a poor pass, and that pass is intercepted by an opposition player who was in an offside position, it would not be offside.
Swali zuriPale uliposema... nanukuu........ picha za video zinaonyesha kuwa winga wa Simba, Sakho kabla hajapiga shuti lililosababisha bao hilo ni kweli Kagere alikuwa katika nafasi ya kuotea.... mwisho wa kunukuu.. MPAKA KUFIKA HAPO, KWANINI FILIMBI YA KUOTEA HAIKUPIGWA? FILIMBI INAPIGWA MCHEZAJI AKIOTEA, WHY ILISUBIRIWA OFFDIDE IVUNJWE...!?
Psg walifungwa goli Kama Hilo na VAR ikakubali ingawa refa alikataa, so hata tungekua na VAR ingekubali tu Kua ni goliMchezo wa Simba dhidi ya Mbeya Kwanza umemalizika na kuna kelele nyingi kuhusu bao la Simba lililofungwa na Clatous Chama kuwa kabla ya kufunga mshambuliaji wa timu yake Meddie Kagere alikuwa ameotea (offside).
Picha za video zinaonyesha kuwa winga wa Simba, Sakho kabla hajapiga shuti lililosababisha bao hilo ni kweli Kagere alikuwa katika nafasi ya kuotea, lakini kwa kuwa shuti hilo lilimgonga beki wa Mbeya Kwanza wakati akitaka kuokoa, ndipo hapo akavunja offside kwa Kagere.
Kagere ambaye alikuwa katika nafasi ya kuotea, kwa kitendo hicho cha beki wa Mbeya Kwanza inamaanisha alikuwa sahihi kuuwahi mpira na kuucheza kisha Mugalu akaugusa na kisha Chama akafunga.
Hivyo, bao la Chama ni halali kwa sababu offside ilivunjwa kwa mujibu wa kanuni ya kuotea na ndiyo maana mwamuzi ameruhusu bao hilo kuwa halali katika mchezo wa Jumapili Februari 6, 2022.
Hii ni VAR Kaka, hakuna tofauti yoyote Kati ya hili goli na lile la chama.Babu, kisheria offside haivunjwi na Deflection. Chutama tu.
View attachment 2110566
Caf marefa hawana maelekezo ya GSM, wala timu hazipaki basi, na marefa ni international, subirini kuona mbungiWe ni mpumbavu sana uchambuzi mandazi
Nani amepiga pasi? Unaweza kupiga pasi vile? Wabongo mnaua mpira kwa sababu za ushabiki.
Pumbavu zenu litimu libovu ngoja muone caf mtakavyochezea vya kutosha.
Hao marefa wenye maelekezo ya GSM wangekubeba kwenye mechi na prisons na Mbeya Kwanza?? Ngojeni ije upande wa pili muanze kubweka GSM kanunua ligiCaf marefa hawana maelekezo ya GSM, wala timu hazipaki basi, na marefa ni international, subirini kuona mbungi
Shindeni mechi zenu, mbona gap kubwa na mnalalamika?Hao marefa wenye maelekezo ya GSM wangekubeba kwenye mechi na prisons na Mbeya Kwanza?? Ngojeni ije upande wa pili muanze kubweka GSM kanunua ligi
Ya PSG walifungwa goli halali kwasababu mpira ulivyopiga, yule mchezaji wa PSG aliucheza ule mpira na kwenda kwa adui. Ila ya Simba dhidi ya Mbeya kwanza ni kwamba mpira ulimgonga mchezaji wa Mbeya kwanza. Nenda kapitie tena sheria uone tofauti ya deflection na deliberate play.Psg walifungwa goli Kama Hilo na VAR ikakubali ingawa refa alikataa, so hata tungekua na VAR ingekubali tu Kua ni goliView attachment 2111325
Hiyo tafsiri ya kumgonga na kuucheza (poor pass) ndiyo inayoleta utataYa PSG walifungwa goli halali kwasababu mpira ulivyopiga, yule mchezaji wa PSG aliucheza ule mpira na kwenda kwa adui. Ila ya Simba dhidi ya Mbeya kwanza ni kwamba mpira ulimgonga mchezaji wa Mbeya kwanza. Nenda kapitie tena sheria uone tofauti ya deflection na deliberate play.
Mimi ni sio shabiki wa mpira ila mechi ya simba na Prison nilikuwa safarini. Guest nilipofikia walionesha ule mpira. Aidee ile penalti hata sisi tusiojua sheria tunaona aibu.Kila siku simba anabebwa
Kwann magoli ya Simba yana utata? hao marefa wanapewa maelekezo na GSM kuinufaisha Simba tu?Caf marefa hawana maelekezo ya GSM, wala timu hazipaki basi, na marefa ni international, subirini kuona mbungi
Kwenye mpira tumia Sana opponent player instead of oppossion ,that opposition waachie akina Tundu lisu huko ,sometimesSo if a defender plays a poor pass, and that pass is intercepted by an opposition player who was in an offside position, it would not be offside.
Hakuna utata mkuu angalia utofautiHiyo tafsiri ya kumgonga na kuucheza (poor pass) ndiyo inayoleta utata