Tuwe tunajielimisha kama hivi itasaidia sana waamuzi kujirekebisha na siyo kuwaunga mkono wanapofanya ujinga. Anayesema haikuwa offside kwa sababu beki wa Mbeya Kwanza aliugusa mpira, aje atuambie kama Ungekuwa umerudishwa na kipa bado isinhekuwa offside?Nimecheck mkuu, ni kweli clear offside. Mwanzoni nilivyocheki replay nilidhani wakwanza kuucheza mpira ni mchezaji wa Simba ambaye alikuwa onside. Kumbe umemgonga beki wa Mbeya kwanza. Ni offside tu pale ambapo mpira umemgonga beki wa Mbeya kwanza ila sio offside endapo beki wa Mbeya kwanza kaucheza mpira.
Usichukue kipengele kimoja na kushangilia, tueleze maana ya neno Poor pass. Halafu ukimaliza tutafutie tofauti ya poor pass na deflection.Swali zuri mkuu
We kichwa ngumu kweliPale uliposema... nanukuu........ picha za video zinaonyesha kuwa winga wa Simba, Sakho kabla hajapiga shuti lililosababisha bao hilo ni kweli Kagere alikuwa katika nafasi ya kuotea.... mwisho wa kunukuu.. MPAKA KUFIKA HAPO, KWANINI FILIMBI YA KUOTEA HAIKUPIGWA? FILIMBI INAPIGWA MCHEZAJI AKIOTEA, WHY ILISUBIRIWA OFFDIDE IVUNJWE...!?
Ahahahahaaa....!!! Sawa, lakini we kichwa chepesi ungejibu swali langu...!! Kama kuna muda palikuwa na offside, why filimbi haikupulizwa muda huo..??We kichwa ngumu kweli
Hahha mtaalamu hii ndio raha ya mpira ndio maana var hajaharibu utamu wa mpira.Ahahahahaaa....!!! Sawa, lakini we kichwa chepesi ungejibu swali langu...!! Kama kuna muda palikuwa na offside, why filimbi haikupulizwa muda huo..??
Kati hao wawili wanaobishana, kuna mmoja ni muongo.. Na hapa muongo anaoneka. Maana anahaha tu na kucheza na lugha LAKINI HAJIBU SWALI... Ahahahahaaaa...!!!Hahha mtaalamu hii ndio raha ya mpira ndio maana var hajaharibu utamu wa mpira.
Watu wabishane kwa sababu kila mtu anajiona yupo sahihi
Filimbi ya offside huwa haipigwi wakati ambao mchezaji yupo kwenye eneo la kuotea bali filimbi ya offside inapigwa wakati ambao mchezaji aliyopo kwenye eneo la kuotea akiuingilia mchezo.Ahahahahaaa....!!! Sawa, lakini we kichwa chepesi ungejibu swali langu...!! Kama kuna muda palikuwa na offside, why filimbi haikupulizwa muda huo..??
Kagere aliotea au hakuotea?Filimbi ya offside huwa haipigwi wakati ambao mchezaji yupo kwenye eneo la kuotea bali filimbi ya offside inapigwa wakati ambao mchezaji aliyopo kwenye eneo la kuotea akiuingilia mchezo.
Kagere alioteaKagere aliotea au hakuotea?
Asante kwa kujibu..!! Sina la kuongeza.Kagere aliotea
wewe Ni zuzu, nimejiridhisha kabisa.Leta vifungu vya sheria mkuu, sio blah blah hzo.
Sent from my Infinix X623 using JamiiForums mobile app
Simba babalao............NILICHOGUNDUA SIMBA LAZIMA AWE BINGWA KI VYOVYOTE