Bar punguzeni volume ya mziki, mnafukuza wateja

Bar punguzeni volume ya mziki, mnafukuza wateja

Lububi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2013
Posts
2,158
Reaction score
3,808
Wadau wa jukwaa mnajua hapa ndio sehemu pekee pamekuwa pa kuwekana sawa kama jamii. Kwa muda mrefu wamiliki wa bar na pubs wanadhani kupiga mziki mkubwa inavutia wateja. Ukweli ni kwamba bar ndo sehemu watu tunabadilishana mawazo hata kufahamiana. Sasa bar nyingi miziki inakuwa juu kiasi unalazimika kunywa kimya kimya maana ukiongea ni kama uko kwenye crusher site. Unahamia pengine ni vile vile.

Hata mantik ya kuja bar au pub kama marafiki haina maana kwa vile hamuwezi ongea. DJ s wafikirie namna ya kupiga mziki starehe na si mziki kero. Anayehitaj kubang sana anajua kuwa ni night club. Sasa siku akipatikana mmiliki anayejua nini wateja tunataka atapata faida kubwa kwa kulimit kelele za mziki. Wengi wako hivi.

Unaenda bar na kurudi bila kubadilishana mawazo na mtu. Tubadilike. Tujue wateja wanahitaj nini hadi kufika pale. Bar ni makutano zaidi si kunywa tu! Hatufati mziki wa kuharibiana masikio. Hata majumbani kwetu sebulen vipo. Dj na meneja mjue mziki kelele unakera wateja. Unaskia kama ni pale siji. Sio tulivu.
 
Ukishalewa kelele husiki mzee[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Sio kweli. Kiuhalisia wanaokunywa kama wamepata hela za mwisho ni huko visiwan na machimbon. Mjin kunywa ni sehem ya ratiba ya kawaida na bar ndo kumbi za mikutano bila ajenda na kukwepa kukwazana na mke uende kulala tu. Sasa hawa dj ni kama ulimbuken. Mziki had hamwez badilishana mawazo. Inakera. Ili uongee lazma uwe km mizim inataka kukuingia tawile. Spika zenyeqe hiz stereo had maskio yanauma. Sijawai ona biashara ambapo mtoa huduma anakazana kufukuza wateja wastaarab kwa fujo ya kimziki
 
Wadau wa jukwaa mnajua hapa ndo sehem pekee pamekuwa pa kuwekana sawa kama jamii. Kwa muda mrefu wamiliki wa bar na pubs wanadhan kupiga mzik mkubwa inavutia wateja. Ukweli ni kwamba bar ndo sehem watu tunabadilishana mawazo hata kufahamiana. Sasa bar nying mizik inakuwa juu kias unalazimika kunywa kimya kimya mana ukiongea ni kama uko kwenye crusher site. Unahamia pengine ni vile vile. Hata mantik ya kuja bar au pub kama marafiki haina maana kwa vile hamwez ongea. DJ s wafikirie namna ya kupiga mziki starehe na si mziki kero. Anayehitaj kubang sana anajua kuwa ni night club. Sasa siku akipatikana mmilik anayejua nini wateja tunataka atapata faida kubwa kwa kulimit kelele za mziki. Weng wako hivi. Unaenda bar na kurud bila kubadilishana mawazo na mtu. Tubadilike. Tujue wateja wanahitaj nini had kufika pale. Bar ni makutano zaid si kunywa tu! Hatufat mzik wa kuharbiana maskio. hata majumban kwetu sebulen vipo. Dj na meneja mjue mziki kelele unakera wateja. Unaskia kama ni pale siji. Sio tulivu.

Kabisa halafu ukute mziki wenyewe ni NYENZE halafu wacheze MAKOPOKOPO.
 
Upo sahihi mkuu. Kuna kipindi nilianza kwenda bar za hotelini, huwa tulivu sana mnaongea mziki wa chini.

Sasa unaenda bar ukiamka sauti inakwaruza kisa kuongea kwa sauti. Ila siku hizi niko likizo isiyo na kikomo ya kunywa.
 
Wadau wa jukwaa mnajua hapa ndo sehem pekee pamekuwa pa kuwekana sawa kama jamii. Kwa muda mrefu wamiliki wa bar na pubs wanadhan kupiga mzik mkubwa inavutia wateja. Ukweli ni kwamba bar ndo sehem watu tunabadilishana mawazo hata kufahamiana. Sasa bar nying mizik inakuwa juu kias unalazimika kunywa kimya kimya mana ukiongea ni kama uko kwenye crusher site. Unahamia pengine ni vile vile. Hata mantik ya kuja bar au pub kama marafiki haina maana kwa vile hamwez ongea. DJ s wafikirie namna ya kupiga mziki starehe na si mziki kero. Anayehitaj kubang sana anajua kuwa ni night club. Sasa siku akipatikana mmilik anayejua nini wateja tunataka atapata faida kubwa kwa kulimit kelele za mziki. Weng wako hivi. Unaenda bar na kurud bila kubadilishana mawazo na mtu. Tubadilike. Tujue wateja wanahitaj nini had kufika pale. Bar ni makutano zaid si kunywa tu! Hatufat mzik wa kuharbiana maskio. hata majumban kwetu sebulen vipo. Dj na meneja mjue mziki kelele unakera wateja. Unaskia kama ni pale siji. Sio tulivu.
Mkuu ushaanza kuzeeka
 
Wangekuwa na siku maalum za kupigisha hiyo mikelele ingekuwa safi, lakini unakuta imefungwa mispika kila kona bila mpangilio wowote wa maana wa sauti, saa 9jioni mpaka saa 7usiku ni mikelele tu, siki zote 7 za wiki.

Au wenye uwezo, waweke spika ndogo(kwa muonekano) chini kwa wingi wa kutosha, fungulia mziki kwa volume ndogo tu, wote watasikia, watafurahia na bado watazungumza.

La, tuwe tu sheria kali za kuzuiwa mikelele kweny makazi ya watu, decibels kadhaa(75bB) mwisho, zaidi ya hapo uwajibishwe tu.
 
Na uzuri ni kuwa hizo kelele tunazifata wenyewe. Bar ni sehemu ya kuweka shida chini na kurusha mikono juu, ukitaka mziki wa taratibu nunua safari kwa mangi tulia zako nyumbani.
 
Wadau wa jukwaa mnajua hapa ndo sehem pekee pamekuwa pa kuwekana sawa kama jamii. Kwa muda mrefu wamiliki wa bar na pubs wanadhan kupiga mzik mkubwa inavutia wateja. Ukweli ni kwamba bar ndo sehem watu tunabadilishana mawazo hata kufahamiana. Sasa bar nying mizik inakuwa juu kias unalazimika kunywa kimya kimya mana ukiongea ni kama uko kwenye crusher site. Unahamia pengine ni vile vile. Hata mantik ya kuja bar au pub kama marafiki haina maana kwa vile hamwez ongea. DJ s wafikirie namna ya kupiga mziki starehe na si mziki kero. Anayehitaj kubang sana anajua kuwa ni night club. Sasa siku akipatikana mmilik anayejua nini wateja tunataka atapata faida kubwa kwa kulimit kelele za mziki. Weng wako hivi. Unaenda bar na kurud bila kubadilishana mawazo na mtu. Tubadilike. Tujue wateja wanahitaj nini had kufika pale. Bar ni makutano zaid si kunywa tu! Hatufat mzik wa kuharbiana maskio. hata majumban kwetu sebulen vipo. Dj na meneja mjue mziki kelele unakera wateja. Unaskia kama ni pale siji. Sio tulivu.
Tatizo ni Mseto uliopo kwenye hiyo bar unayoenda kuna wengine wamefuata makelele ya Mziki sehemu sahihi ya kufanya maongezi ni kwenye bar za ma Hotels sasa Kwa bahati mbaya hizi bar unaweza jikuta wewe na kaunta tu .
 
Ukienda Bar zinazopiga mziki wa band utaweza kweli?
Bar raha yake mziki ndio shangwe linanoga! Kama una maongezi nyeti, nenda lounge!
 
Back
Top Bottom