Bar punguzeni volume ya mziki, mnafukuza wateja

Kuna dada mmoja ana pub yke iko sehemu fulani
Inaitwa 3 bila kelele hpo ndy kwake....
Kelele za mziki,kelele za watoa huduma+matusi
Vurugu tu ila burdan sanaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Natumia mvinyo kaka. Natii kanuni ..in vinus veritas. Labda Tofaut kubwa kat yang na wewe ni kuwa mimi nakunywa responsibly!
Kunywa ni kunywa tu, kunywa responsibly ni maneno ya kwenye kanga kwa watu wasio na pesa.
 
Mimi nikionaga hivyo huwa naondoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…