Duh ntakuendea madagascar au nigerianikiwa Rais nafungia hayo 'madanguro' yote....
Mikumi tenaa...
Kunywa ni kunywa tu, kunywa responsibly ni maneno ya kwenye kanga kwa watu wasio na pesa.Natumia mvinyo kaka. Natii kanuni ..in vinus veritas. Labda Tofaut kubwa kat yang na wewe ni kuwa mimi nakunywa responsibly!
Mimi nikionaga hivyo huwa naondoka.Sio kweli. Kiuhalisia wanaokunywa kama wamepata hela za mwisho ni huko visiwan na machimbon. Mjin kunywa ni sehem ya ratiba ya kawaida na bar ndo kumbi za mikutano bila ajenda na kukwepa kukwazana na mke uende kulala tu. Sasa hawa dj ni kama ulimbuken. Mziki had hamwez badilishana mawazo. Inakera. Ili uongee lazma uwe km mizim inataka kukuingia tawile. Spika zenyeqe hiz stereo had maskio yanauma. Sijawai ona biashara ambapo mtoa huduma anakazana kufukuza wateja wastaarab kwa fujo ya kimziki
πππDuh ntakuendea madagascar au nigeria
[emoji23][emoji23][emoji23]lzm nkupige kipapai
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app