The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
- Thread starter
- #101
Adhabu ni kati ya 100m hadi 500m ama kwenda jela miaka 5 ama vyote kwa pamoja lakini pia mali yote uliyoiba serikali inachukua.Alipe faini , mil 200 kati ya hizo bilioni, atolewe
Au akubali makosa haraka ili awahi kuingia katika orodha ya msamaha wa Rais mwakani...
Na awaahidi kujiunga CCM kama Deo Mwanyika
Hawakuachi tu eti kisa umelipa 20m, wanakomba na mali nyingine.