Tetesi: Bar ya Forty Forty Tabata imefungwa miezi zaidi ya 3, mmiliki yuko jela kesi za uhujumu uchumi

Tetesi: Bar ya Forty Forty Tabata imefungwa miezi zaidi ya 3, mmiliki yuko jela kesi za uhujumu uchumi

Labda kwa kukusaidia.

Mahabusu ni mtu ambae ametuhumiwa ila hakapatikana na hatia na bado yuko mikononi mwa vyombo vya dola. Yaani unaweza kua mahabusu na bado unaishi gerezani.

Jela au gereza ni mahala wanaposhikiliwa watuhumiwa ambao wanasubiri kesi zao zisikilizwe na wapate haki yao na pia kwa watu ambao tayari mashauri yao yameshasikilizwa na kutolewa maamuzi, yaani wamehukimiwa kutumikia kifungo.

Natumaini sasa utaelewa na utajijibu swali lako.
Mahabusu ni yule mtu ambaye yuko ndani lakini kesi yake bado haijaisha, aliye jela au mfungwa ni yule ambaye kesi yake imeisha na kuamriwa afungwe kwa miaka kadhaa au kifungo cha maisha.
 
Wale wapenzi wa bar maarufu Tabata Bima Junction mtakua mashahidi, hii bar imefungwa zaidi ya miezi 3. Awali watu wengi walidhani labda ni sababu ya Corona lakini sio kweli.

Mmiliki wa Forty Forty investments alikuwa ni mmoja wa wahasibu wa wizara ya utalii waliotafuna zaidi ya Billion 4 ambao Rais Magufuli aliamuru wakamatwe na kufikishwa mahakamani.

Sasa boss kubwa huyo yupo jela ananyea debe huku akipambana na kesi yake ya kuhujumu uchumi na kutakatisha pesa.
acha uongo aisee, forty forty haijafungwa
 
Duh bar ilikuwa tamu sana,,,full malaya!

Yes, malaya wenye matak.o O makubwa tu, Dar nzima hakuna, ukitaka matako.o ndio ilikuwa penyewe.. Ila Tabata ndio malaya classic wote wa jiji ndio center yao
 
Ila kwanini wamiliki wa Bar za aina hii huwaga wana associate na scandal za kutisha?

Kwa huku mkoa kulikuwa na Bar inaitwa "Mekus Bistro" ilijizolea umaarufu mkubwa sana hasa kwa wageni kutoka mkoa wa Dar hasa wale ndugu zangu wa aika mbee!

Cha ajabu ilivunjwa kwa amri ya mahakama na wana Takukuru. Mmiliki alikuwa na msala wa uhujumu uchumi na acc. yake inasemekana ilikutwa na 20B ambayo uhalali wake ni wa kutatanisha wakati cease kwa tetesi kwamba ilikuwa kijiwe cha wauza ngada.
Definitely! Not far from it......wamiliki wengi hutumia sehemu hizo kufanya money laundering, ndio maana mara nyingi wahusika hukamatwa na sehemu zao hufungwa mkuu.







Let's meet at the top, cheers 🥂
 
Wale wapenzi wa bar maarufu Tabata Bima Junction mtakua mashahidi, hii bar imefungwa zaidi ya miezi 3. Awali watu wengi walidhani labda ni sababu ya Corona lakini sio kweli.

Mmiliki wa Forty Forty investments alikuwa ni mmoja wa wahasibu wa wizara ya utalii waliotafuna zaidi ya Billion 4 ambao Rais Magufuli aliamuru wakamatwe na kufikishwa mahakamani.

Sasa boss kubwa huyo yupo jela ananyea debe huku akipambana na kesi yake ya kuhujumu uchumi na kutakatisha pesa.
Muumba ajaalie abaki huko huko.
 
Hivi Mama Tema wa Tamecco kesharudi uraiani!?
 
Maskini wengi hufurahia matatizo ya matajiri
Huyu sio tajiri, ni mwizi.

Mimi nafurahi pale wezi wanapokamatwa na kushughulikiwa.

Wezi wanarudisha nyuma maendeleo.

Sasa wewe kama unamchekea mpe vitu vyako sio wa umma.
 
Yes, malaya wenye matak.o O makubwa tu, Dar nzima hakuna, ukitaka matako.o ndio ilikuwa penyewe.. Ila Tabata ndio malaya classic wote wa jiji ndio center yao
Malaya wa Tabata hawana tofauti na malaya wa Sinza. Siku hizi mimi nimehamia mikocheni, masaki ndio nakula watoto wazuri.

Malaya wa Tabata na Sinza wamejaa njaa kali. Ukiwakaribisha mezani waanza na misosi mikubwa utafikiri hajala wiki 2, bia za gharama halafu wanakunywa kama wametumwa.
 
Ikowapii mkuu kitambaa cheupee wakudangaa wapoo hapoo??!
Baada ya Tabata Bima mbele kidogo kama unaenda segerea, mtaa unaitwa baracuda, happ ndio kuna malaya wa kufa mtu sasa hivi. Zamani palikua panaitwa copa cabana.
 
Awamu Hii Ya Tano
Ogopa Sana Hicho Kifungu Cha Sheria Kinachosema "Utakatishaji Pesa Na Uhujumu Uchumi ". Kama Ingekuwa Kwenye Gari Basi Tungesema Unawekewa 4WD Na Lock Dif
 
Back
Top Bottom