Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,158
- 4,449
Kumbe nia yake ni watu wawe na maisha magumu?Tabata kuna bar mpya zimefunguliwa mfano The great Park, 40 by 40, kwetu pazuri, kwa kweli zinajaza sana watu.
Ukitembelea hizi bar alafu ukasikia mtu analalamika hela imepotea mfukoni hautamwamini kamwe.
Watu wanapiga mitungi kama kawa mpaka majogoo.