Bar zinavyochipuka ukanda wa Mbezi Beach

Bar zinavyochipuka ukanda wa Mbezi Beach

Leverage

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2021
Posts
2,125
Reaction score
3,150
Kwanza naunga mkono kauli ya RC mstaafu wa Mwanza kuwa "watu wanywe bia maana bia ni uchumi" Lakini pamoja na hilo siku za karibuni kumeibuka mfululizo wa bar ukanda wa mbezi beach ya chini hali inayopelekea mtaa kukosa utulivu hii imepelekea hata baadhi ya wasanii kuhama mjini sinza na kufata viwanja Mbezi beach.

Ongezeko la bar linaweza kuleta vitendo vya uhalifu, mapaka, madawa ya kulevya na kuharibu sifa ya mtaa. Bar zenyewe zinajaa watoto wa shule za kata wanyoa viduku na vidangaji vya kutoka uswahilini Kawe. Ukiondoa Oysterbay na Masaki mtaa unaofuatia kwa ustaarabu na makazi yenye utulivu ni Mbezi beach ila tunapoelekea sasa utakuwa mtaa wa fujo. Mwanzoni zilianza kumbi za sherehe, sasa hivi bar nani anajua kitakachofuatia?

Mipango miji tupeni jicho pande hizi kuna mitaa itunzwe na kuheshimiwa kama makazi mfano Mbezi beach, Mikocheni, Mbweni na Ununio na mitaa mingine ibaki ya starehe kama Sinza, kinondoni, Tabata n.k.

Baadhi ya bar hizo ni:
Rainbow
Juliana
Kidimbwi
Na nyingine nyingi siwezi taja zote wino utaisha.
 
Kwanza naunga mkono kauli ya RC mstaafu wa Mwanza kuwa "watu wanywe bia maana bia ni uchumi"
Lakini pamoja na hilo siku za karibuni kumeibuka mfululizo wa bar ukanda wa mbezi beach ya chini hali inayopelekea mtaa kukosa utulivu hii imepelekea hata baadhi ya wasanii kuhama mjini sinza na kufata viwanja Mbezi beach. Ongezeko la bar linaweza kuleta vitendo vya uhalifu, mapaka, madawa ya kulevya na kuharibu sifa ya mtaa. Bar zenyewe zinajaa watoto wa shule za kata wanyoa viduku na vidangaji vya kutoka uswahilini Kawe. Ukiondoa Oysterbay na Masaki mtaa unaofuatia kwa ustaarabu na makazi yenye utulivu ni Mbezi beach ila tunapoelekea sasa utakuwa mtaa wa fujo. Mwanzoni zilianza kumbi za sherehe, sasa hivi bar nani anajua kitakachofuatia?
Mipango miji tupeni jicho pande hizi kuna mitaa itunzwe na kuheshimiwa kama makazi mfano Mbezi beach, Mikocheni, Mbweni na Ununio na mitaa mingine ibaki ya starehe kama Sinza, kinondoni, Tabata n.k
Baadhi ya bar hizo no:
Rainbow
Juliana
Kidimbwi
Na nyingine nyingi siwezi taja zote wino utaisha.
😀Kidimbwi bar?,huyu mwenye bar atakuwa Utopolo lia lia (jokes)..
 
Usiwe na wasiwasi sana Baa ambazo zitabaki muda mrefu ni hizo Juliana, Nyambizi, Amsterdam,Kidimbwi . Hilo eneo la mbezi ya chini maarufu kwa zena kawawa sasa hivi ndio eneo hot kwa starehe za usiku. Wale dada popobawa wasiolala wanatoka tabata kuja kujiuza huko juliana, kidimbwi na hata mawela.

Juzi kulitokea ujambazi hapo Juliana akuwawa Jimson Kibiki na hao wezi walimpora maeneo ya juliana.

Baa hizi pia zinaleta mkusanyiko wa watu wasio wema, madalali wa sinza wote wamehamia juliana wanashinda hapo na vijana wa sinza wanajulikana wao ni pesa mbele deal yoyote watapiga. Baa hizi zinakwenda kuharibu ule utulivu uliokuwepo.

Shopping malls zinazoibuka pande hizo ni hatari pia.
 
Usiwe na wasiwasi sana Baa ambazo zitabaki muda mrefu ni hizo Juliana, Nyambizi, Amsterdam,Kidimbwi . Hilo eneo la mbezi ya chini maarufu kwa zena kawawa sasa hivi ndio eneo hot kwa starehe za usiku. Wale dada popobawa wasiolala wanatoka tabata kuja kujiuza huko juliana, kidimbwi na hata mawela.

Juzi kulitokea ujambazi hapo Juliana akuwawa Jimson Kibiki na hao wezi walimpora maeneo ya juliana.

Baa hizi pia zinaleta mkusanyiko wa watu wasio wema, madalali wa sinza wote wamehamia juliana wanashinda hapo na vijana wa sinza wanajulikana wao ni pesa mbele deal yoyote watapiga. Baa hizi zinakwenda kuharibu ule utulivu uliokuwepo.

Shopping malls zinazoibuka pande hizo ni hatari pia.
Ambrosia bado ipo?
 
Mipango miji tupeni jicho pande hizi kuna mitaa itunzwe na kuheshimiwa kama makazi mfano Mbezi beach, Mikocheni, Mbweni na Ununio na mitaa mingine ibaki ya starehe kama Sinza, kinondoni, Tabata n.
Bila kuzingatia hili tutafika mahali utulivu utakoseakana kabisa majumbani familia zitayumba na watoto wa shule kupoteza mwelelekeo kimasomo
 
Back
Top Bottom