Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umenielewa vizuri mkuuBila kuzingatia hili tutafika mahali utulivu utakoseakana kabisa majumbani familia zitayumba na watoto wa shule kupoteza mwelelekeo kimasomo
Watoto wengi mno tena wa uswahilini sijui hela wanatoa wapi hawa?Tatizo sehemu hizo zote watoto wanajaa sana
Ova
Sio kweliDar ni Kijiji kikubwa cha wavuvi-BBC
Yes, kwa msisitizo wa ChalamilaBeer ni uchumi mkuu
Ubishi tu!kumbe hizo sehemu bado zipo tuWatoto wengi mno tena wa uswahilini sijui hela wanatoa wapi hawa?
Hao watakuwa kutoka Kawe/ Tegeta kwa ndevu/BunjuNiliagiza bucket Juliana...nilikuwa nimekaa karibu na vijana kadhaa karibu ,Ile naangalia pembeni si wakachomoa vinywaji......kweli vijana wa uswahili wanaharibu Sana image ya hizi bar siku hizi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ukitaka sehemu ya utulivu walau uingie pale Kibo Complex juu/club 71.Niliagiza bucket Juliana...nilikuwa nimekaa karibu na vijana kadhaa karibu ,Ile naangalia pembeni si wakachomoa vinywaji......kweli vijana wa uswahili wanaharibu Sana image ya hizi bar siku hizi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yule ni kichaa kabisa, wamefanya vema kumwondoa mapematena kwa aibu angeharibu nchiYes, kwa msisitizo wa Chalamila
Hahaaa! Sawa mkuuWatu wanatafuta fursa we unawabania hama nenda Masaki, Mbezi Beach mbona pakawaida sana mkuu au umetoka Ludewa
Maveterani ndio kawaida yaoWajanja sahv wanakaa kwenye viduka kwa mangi,au kwenye vi grocery/pub zikizotulia
Siyo unakaa sehemu mnashindwa hata kuyajenga
Ova
Fika Africana shuka kama unakuja Jangwani sea breeze upande wa kulia.Hebu nipe location ya hizo pub nije na mimi nijioneee
Wajanja sahv wanakaa kwenye viduka kwa mangi,au kwenye vi grocery/pub zikizotulia
Siyo unakaa sehemu mnashindwa hata kuyajenga
Ova
Hakika mkuu, hizi bar hasa Juliana inakusanya takataka kutoka kila kona ya Dar kwa sasaUsiwe na wasiwasi sana Baa ambazo zitabaki muda mrefu ni hizo Juliana, Nyambizi, Amsterdam,Kidimbwi . Hilo eneo la mbezi ya chini maarufu kwa zena kawawa sasa hivi ndio eneo hot kwa starehe za usiku. Wale dada popobawa wasiolala wanatoka tabata kuja kujiuza huko juliana, kidimbwi na hata mawela.
Juzi kulitokea ujambazi hapo Juliana akuwawa Jimson Kibiki na hao wezi walimpora maeneo ya juliana.
Baa hizi pia zinaleta mkusanyiko wa watu wasio wema, madalali wa sinza wote wamehamia juliana wanashinda hapo na vijana wa sinza wanajulikana wao ni pesa mbele deal yoyote watapiga. Baa hizi zinakwenda kuharibu ule utulivu uliokuwepo.
Shopping malls zinazoibuka pande hizo ni hatari pia.
Mwana FA utaoa lini ?Hebu nipe location ya hizo pub nije na mimi nijioneee