mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Zamani mashuwa obay masaki shopping zao ni morogoro store au kinondoni tx marketMagenge Oysterbay mkuu? Daaah
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamani mashuwa obay masaki shopping zao ni morogoro store au kinondoni tx marketMagenge Oysterbay mkuu? Daaah
HahahahahahaHalafu siyo kazi. Usipige mziki wa makelele au usipige hii miziki yao ya anajikosha, hawatakuja. Unaenda baa kesho koo linauma sababu ya kuongea kwa sauti ya juu kisa limziki.
Kama kuna magenge Masaki na Oysterbay wanakosea sana aisee. Waende kufanya shopping kariakoo mbona karibu sana hapo?Zamani mashuwa obay masaki shopping zao ni morogoro store au kinondoni tx market
Ova
Vigenge vidogo,kumbuka huko obay baada ya viongozi wetu kuachiwa majumba huko wakawa wanafuga ngombe,mbuzi teh tehKama kuna magenge Masaki na Oysterbay wanakosea sana aisee. Waende kufanya shopping kariakoo mbona karibu sana hapo?
Ulijenga nyumba miaka ya Nyerere? Shikamoo Kiranga nilijua wewe ni rika languNimejenga kwa mikono yangu nyumba ya familia (ya wazazi) Mbezi Beach miaka ya Nyerere.
Enzi hizo Tangi Bovu bado lipo.
Nimeona palivyokuwa ushuani pamepangwa vizuri, mpaka panakongoroka kwa vigenge vigenge na vichochoro.
Hahahah yule rasta yupo kwa nje hivi na redio lake old school😀😀😀 amani sana paleMkuu, jumapili pale Coco kuna rasta mmoja anauza urembo na viatu vya ngozi huwa anapiga reggae old school mziki mnene plus ule upepo, yaaani raha sana.
Pale Junction kutokea tangi bovu kama unaelekea kwa mboma katikati pale nakumbkaEnzi za Nyerere nikikuwa nasoma shule ya msingi hivyo nisingeweza kujenga nyumba yangu by most conventional standards.
Nimejenga kwa mikono yangu nyumba ya familia (ya wazazi) Mbezi Beach miaka ya Nyerere.
Enzi hizo Tangi Bovu bado lipo.
Nimeona palivyokuwa ushuani pamepangwa vizuri, mpaka panakongoroka kwa vigenge vigenge na vichochoro.
Kwa kweli Mbezi Beach tulivyoifikiria itakuwa na ilivyokuja kuwa ni vitu viwili tofauti.Pale Junction kutokea tangi bovu kama unaelekea kwa mboma katikati pale nakumbka
Mke wa e.mmry alikuwa na eneo kubwa ilikuwa shamba ,majirani pembeni walikuwa wakina mataka...
Watu walipoanza kuhamia huko nakumbka kulikuwa na uvamizi sana majumbani watu walingiliwa sana
Ova
Mipango ilikuwa mbezi iwe zaidi ya obay na masaki kama plan ingebakia kama mwanzoKwa kweli Mbezi Beach tulivyoifikiria itakuwa na ilivyokuja kuwa ni vitu viwili tofauti.
Kwa sasa ni kutafuta chimbo jingine tulivu zaidi tu.
Huku Oysterbay na Mbezi Beach kwa kiasi kikubwa kushachafuliwa.
Ingawa kuna sehemu bado ziko poa.
Sehemu ya makazi ya watu ikishaanzishwa gereji, vigenge na mabaa ishachafuka.
Na sisi ndivyo yulivyofikiri hivyo.Mipango ilikuwa mbezi iwe zaidi ya obay na masaki kama plan ingebakia kama mwanzo
Basi mbezi beach ingekuwa kama Lavington fulani!
Ila sahv is ishakuwa vurugu ktk mma
Sikuhizi inaitwa "Hang Over"...
Ila Ambrosia ilikua hatari sana! Waliruhusu BJ!!!!!
Hahahahahaaaa sawa mzee babaNyumba ya wazazi mkuu.
Nilikuwa nabeba matofali kujenga weekend.
Enzi za Nyerere nilikuwa primary school.
Mpango ulikuwa huo watu hawajui tuNa sisi ndivyo yulivyofikiri hivyo.
Kwamba tutahama Oysterbay na kuhamia Mbezi Beach ambayo itakuwa nzuri zaidi ya Oysterbay.
Hv cornl hajatokaDuuuuh Tangu Jamaa amfumue mtu Ubongo ikapoteza umaarufu.....Kumbe hadi huduma ya BJ ilikuwepo basi hatari.
Yes mkuu yupo huyo alafu kuna mwingine kama unaenda upande wa officer's mess jamaa rasta ana speakers kubwa balaa kama za club yaaani ni mwendo wa reggae na upepo mwananaHahahah yule rasta yupo kwa nje hivi na redio lake old school😀😀😀 amani sana pale
Nlichoka siku moja kuna dada mmja namjua matak bar orijino alinambia anatafuta sehem afungue pub mitaa ya mbezi beach HahahaHahahahahaaaa sawa mzee baba
Hahahaha vina wenge sana halafu ukiwa unakunywa kinywaji cha gharama kama Hennessy videmu wanavyokuja navyo huwa shobo sana na vinaanza kudis.Wengine tunanywea home tuWanavaa jeans zao za kamatia chini. Wengi watoto wa vyuo miaka ya mwanzo na wale vinyozi wa saluni.