Bar zinavyochipuka ukanda wa Mbezi Beach

Bar zinavyochipuka ukanda wa Mbezi Beach

Wewe unataka nikuambie kwamba upeo wa mawazo yako ni kwamba kila mtu anafanya kazi.

Hujui wengine inawezekana hatufanyi kazi, tumewekeza hela inatufanyia kazi.

Wengine ni "Trust Fund Babies".

Do you even know what is a Trust Fund?[emoji1787][emoji1787]
Ushaanza ujuaji... I'm gone! [emoji119][emoji16]
 
Wewe unataka nikuambie kwamba upeo wa mawazo yako ni kwamba kila mtu anafanya kazi.

Hujui wengine inawezekana hatufanyi kazi, tumewekeza hela inatufanyia kazi.

Wengine ni "Trust Fund Babies".

Do you even know what is a Trust Fund?[emoji1787][emoji1787]
Nimegundua hii Jf kuna watu wanawivu na maendeleo ya wengine...
So mtu kuishi abroad or kudrive ndio kuoneka much Know?? Sad
 
Nimegundua hii Jf kuna watu wanawivu na maendeleo ya wengine...
So mtu kuishi abroad or kudrive ndio kuoneka much Know?? Sad
Tushawazoea hao.

Uzuri ni kwamba wengine hatuyumbishwi na sifa wala lawama.

Hicho kitu muhimu sana.

Jitahidi ukisifiwa usivimbe sana kichwa, na ukilaumiwa usikasirike sana.

Level head.

Ichi ban.

One.
 
Kwanza naunga mkono kauli ya RC mstaafu wa Mwanza kuwa "watu wanywe bia maana bia ni uchumi" Lakini pamoja na hilo siku za karibuni kumeibuka mfululizo wa bar ukanda wa mbezi beach ya chini hali inayopelekea mtaa kukosa utulivu hii imepelekea hata baadhi ya wasanii kuhama mjini sinza na kufata viwanja Mbezi beach.

Ongezeko la bar linaweza kuleta vitendo vya uhalifu, mapaka, madawa ya kulevya na kuharibu sifa ya mtaa. Bar zenyewe zinajaa watoto wa shule za kata wanyoa viduku na vidangaji vya kutoka uswahilini Kawe. Ukiondoa Oysterbay na Masaki mtaa unaofuatia kwa ustaarabu na makazi yenye utulivu ni Mbezi beach ila tunapoelekea sasa utakuwa mtaa wa fujo. Mwanzoni zilianza kumbi za sherehe, sasa hivi bar nani anajua kitakachofuatia?

Mipango miji tupeni jicho pande hizi kuna mitaa itunzwe na kuheshimiwa kama makazi mfano Mbezi beach, Mikocheni, Mbweni na Ununio na mitaa mingine ibaki ya starehe kama Sinza, kinondoni, Tabata n.k.

Baadhi ya bar hizo ni:
Rainbow
Juliana
Kidimbwi
Na nyingine nyingi siwezi taja zote wino utaisha.
Nasikia mna misikiti na makanisa mengi. Nendeni kukesha huko.

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
KB Bar haifi... Ilikuja China Bar imekufa, ikaja WhatsApp naona inachechemea. Pale Club 71 ya kibo ishajifia.
Lakini KB Bar inarindima daily na vibe Lile lile daily.
Umesahau Zanzibar bar na family bar
 
KB Bar haifi... Ilikuja China Bar imekufa, ikaja WhatsApp naona inachechemea. Pale Club 71 ya kibo ishajifia.
Lakini KB Bar inarindima daily na vibe Lile lile daily.
Umesahau Guangzou. Kuna bar huwa hazifi miaka nenda rudi mfano BM na PK
 
Watu wanatafuta fursa we unawabania hama nenda Masaki, Mbezi Beach mbona pakawaida sana mkuu au umetoka Ludewa
Mlugaluga huyu....kuna mitaa mbezi beach kuna.hadi vijumba vya udongo na.vingine bati zimechoka kama kwa mfuga mbwa.......huyu kweli wa ludewa
 
Back
Top Bottom