Bar zinavyochipuka ukanda wa Mbezi Beach

Bar zinavyochipuka ukanda wa Mbezi Beach

Bila kuzingatia hili tutafika mahali utulivu utakoseakana kabisa majumbani familia zitayumba na watoto wa shule kupoteza mwelelekeo kimasomo
Wewe umenielewa vizuri mkuu
 
Niliagiza bucket Juliana...nilikuwa nimekaa karibu na vijana kadhaa karibu ,Ile naangalia pembeni si wakachomoa vinywaji......kweli vijana wa uswahili wanaharibu Sana image ya hizi bar siku hizi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ukitaka sehemu ya utulivu walau uingie pale Kibo Complex juu/club 71.
Hakuna changanyikeni.
 
Wajanja sahv wanakaa kwenye viduka kwa mangi,au kwenye vi grocery/pub zikizotulia
Siyo unakaa sehemu mnashindwa hata kuyajenga

Ova

Upo sahihi.. wajanja sio watu wa kwenda sehemu zenye vurugu nyingii.. watu wengi wauza sura..

Kwa mangii mitaani kuna watu wengi sana wenye maisha yao mazuri wanakula bia huku wanabadilishana mawazo kila siku baada ya kazi
 
Usiwe na wasiwasi sana Baa ambazo zitabaki muda mrefu ni hizo Juliana, Nyambizi, Amsterdam,Kidimbwi . Hilo eneo la mbezi ya chini maarufu kwa zena kawawa sasa hivi ndio eneo hot kwa starehe za usiku. Wale dada popobawa wasiolala wanatoka tabata kuja kujiuza huko juliana, kidimbwi na hata mawela.

Juzi kulitokea ujambazi hapo Juliana akuwawa Jimson Kibiki na hao wezi walimpora maeneo ya juliana.

Baa hizi pia zinaleta mkusanyiko wa watu wasio wema, madalali wa sinza wote wamehamia juliana wanashinda hapo na vijana wa sinza wanajulikana wao ni pesa mbele deal yoyote watapiga. Baa hizi zinakwenda kuharibu ule utulivu uliokuwepo.

Shopping malls zinazoibuka pande hizo ni hatari pia.
Hakika mkuu, hizi bar hasa Juliana inakusanya takataka kutoka kila kona ya Dar kwa sasa
 
Mbezi Beach ilishakongoroka kitambo tu mbona.

Kwa sisi ambao tumeiona Mbezi Beach tangu inajengeka, tumejenga huko tangu enzi za Nyerere, tumeliona hilo Tangi Bovu tangu lilipokuwepo zima, tumepewa mashamba ya kukatiwa na CCM bure huko siku hizo, Mbezi Beach ilishakongoroka miaka 10 iliyopita.
 
Back
Top Bottom