britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Ukiyasikia majina ya Timu za Taifa kama mko kundi moja mfano
1. Paraguay
2. Uruguay
3. Brazil
4. Argentina
5. Chile
6. Bolivia
Lazima ujiulize mara mbili mbili juu ya kunusurika kwako kwenye makundi,
Ukiyasikia majina kama ya
1. Messi
2. Sanchez
3. Suarez
4. Neymar
5. Coutinho
6. Dos Santos Mexico
7. Di Maria
8. Vidal
9. Firmino
10.Casemiro
Hapo lazima ushangae,
Wa zamani
1. Ronaldo de lima
2. Ronaldinho Gaucho
3.kaka
4.Forlan
5. Robert Carlos
6. Eusebio
7. Garincha
8. Màradona
9. Didi
10. Jaizihno
11 Suarez wa Paraguay miaka hiyo
12. Marcos keeper
Naona bara la America kusini limetoa ushindani mkubwa Sana Kwa mabara mengine
Kombe la Dunia
1.Brazil 5
2. Argentina 2
3. Uruguay 2
Jumla ni 5 nchi shiriki ni makombe 10 inamaana bara lina ratio ya ni makombe mawili Kwa kila mshiriki
1:2
Kwa ulaya ni makombe 8
Yaan washiriki wa ulaya ni wengi 24 inamaana 8 gawa Kwa 24 ni 0.3 hata moja bado
Ukiangalia ulaya imekuwa na washiriki wengi lakin kombe wamelibeba mara chache Tu 8 tu,
American kaskazin wana 1
Kwa Upande wa Africa duh sina la kusema mana Trump anaweza tubadilishia tusi
FIFA WORLD PLAYERS
Imeanza mwaka 1990
Lakin katika hizo mpaka sasa ni miaka 28
Lakin mara nyingi zimeenda America kusini
1.Messi 5
2. Ronaldo de lima 3
3. Ronaldinho Gaucho 2
4. Romario 1
5. Kaka 1
6. Rivado 1
Mara zote 28 America kusini imetoa mara 14
Ulaya imetoa mara 13
Na mara moja Africa ya Gorge weah
Kombe la mabara
1. Brazilia 4
2. Argentina 1
Limenza mwaka 1991 limechezwa mara 8 lakin 5 zimeenda America kusini
Tunaongea Kwa fact
Haya sasa
Na wanaotajwa kuwa best player of all time wanatwajwa
1. Pele
2. Màradona
3. Messi
Sijaona wa Ulaya au Africa
MawAzo yenu plz
1. Paraguay
2. Uruguay
3. Brazil
4. Argentina
5. Chile
6. Bolivia
Lazima ujiulize mara mbili mbili juu ya kunusurika kwako kwenye makundi,
Ukiyasikia majina kama ya
1. Messi
2. Sanchez
3. Suarez
4. Neymar
5. Coutinho
6. Dos Santos Mexico
7. Di Maria
8. Vidal
9. Firmino
10.Casemiro
Hapo lazima ushangae,
Wa zamani
1. Ronaldo de lima
2. Ronaldinho Gaucho
3.kaka
4.Forlan
5. Robert Carlos
6. Eusebio
7. Garincha
8. Màradona
9. Didi
10. Jaizihno
11 Suarez wa Paraguay miaka hiyo
12. Marcos keeper
Naona bara la America kusini limetoa ushindani mkubwa Sana Kwa mabara mengine
Kombe la Dunia
1.Brazil 5
2. Argentina 2
3. Uruguay 2
Jumla ni 5 nchi shiriki ni makombe 10 inamaana bara lina ratio ya ni makombe mawili Kwa kila mshiriki
1:2
Kwa ulaya ni makombe 8
Yaan washiriki wa ulaya ni wengi 24 inamaana 8 gawa Kwa 24 ni 0.3 hata moja bado
Ukiangalia ulaya imekuwa na washiriki wengi lakin kombe wamelibeba mara chache Tu 8 tu,
American kaskazin wana 1
Kwa Upande wa Africa duh sina la kusema mana Trump anaweza tubadilishia tusi
FIFA WORLD PLAYERS
Imeanza mwaka 1990
Lakin katika hizo mpaka sasa ni miaka 28
Lakin mara nyingi zimeenda America kusini
1.Messi 5
2. Ronaldo de lima 3
3. Ronaldinho Gaucho 2
4. Romario 1
5. Kaka 1
6. Rivado 1
Mara zote 28 America kusini imetoa mara 14
Ulaya imetoa mara 13
Na mara moja Africa ya Gorge weah
Kombe la mabara
1. Brazilia 4
2. Argentina 1
Limenza mwaka 1991 limechezwa mara 8 lakin 5 zimeenda America kusini
Tunaongea Kwa fact
Haya sasa
Na wanaotajwa kuwa best player of all time wanatwajwa
1. Pele
2. Màradona
3. Messi
Sijaona wa Ulaya au Africa
MawAzo yenu plz