Barabara kuu inayounganisha Kenya na Tanzania mjini Migori, imefungwa kupinga kutoweka kwa Miguna Miguna

Barabara kuu inayounganisha Kenya na Tanzania mjini Migori, imefungwa kupinga kutoweka kwa Miguna Miguna

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Kundi la vijana limefunga barabara kuu inayounganisha Kenya na Tanzania mjini Migori kupinga kutoweka kwa Miguna Miguna. Jijini Kisumu, vijikaratasi vimesambazwa leo asubuhi vikionya kuteketeza vituo vya polisi iwapo serikali haitaonyesha alipo wakili huyo.
picha.jpg
 
Ila wangefanya vizuri wakafunga ile ya Uganda! Maana hiI haina economic significance kubwa kama ya Uganda!
 
Akili za wafuasi wa Raila wanazielewa wenyewe. Watochoma police station ambazo zinawatumikia wao, afu wakianza uhuni wa kupigana kabali, kuiba na kubakana utasikia wakisema serikali haiwajibiki!
 
hajui HATA ANACHOSEMA maana hajui HATA miguna ni nini na iko wapi!!?
hii ndiyo misukule ya mambe kimangi ambayo inamfuata kokote aendako pia amewashikia akili hawajielewi.

CC: rutegeramisi gwategera
Wewe ambaye unamkemea mtz mwenzako kwasababu hana kiherehere cha kufukuzana na maswala ya Kenya ndo hujielewi hata kidogo. Kwani ingekuuma kama ungemuelimisha bila ya kutokwa na povu kiasi hicho?
 
Wewe ambaye unamkemea mtz mwenzako kwasababu hana kiherehere cha kufukuzana na maswala ya Kenya ndo hujielewi hata kidogo. Kwani ingekuuma kama ungemuelimisha bila ya kutokwa na povu kiasi hicho?

ahaaa haaa haaa Mimi mtu yeyote anaye ongea issue za kinyonge nampa jiwe kii!!
 
Back
Top Bottom