Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyang'au wamekuweza sasa umewapindukia watz wenzako? Unadhani ni wote huwa wanakesha hapa Kenya News kama wewe? Waache waongee, si nilidhani mnataka sisi wakenya tuige demokrasia ya Tz? 😉ahaaa haaa haaa Mimi mtu yeyote anaye ongea issue za kinyonge nampa jiwe kii!!
Duuuuuuuuuuuuhhhhhhhhhh!Tz ya viwanda
Yan akiona jina la nchi yake tu anajiskia kichefuchefuwatu wa roporopo hawa hapa.....
Wao wamepewa kaz ya kuchafua tanzania tuWewe jamaa kweli nyumbu. Unajua Miguna ni raia wa nchi gani
sio rahisi atoweke..Itokee Miguna afariki Kenya italipuka
Alaf Wenyewe wanajiita wazalendohajui HATA ANACHOSEMA maana hajui HATA miguna ni nini na iko wapi!!?
hii ndiyo misukule ya mambe kimangi ambayo inamfuata kokote aendako pia amewashikia akili hawajielewi.
CC: rutegeramisi gwategera
Umeua mkuuahaaa haaa haaa Mimi mtu yeyote anaye ongea issue za kinyonge nampa jiwe kii!!
hajui HATA ANACHOSEMA maana hajui HATA miguna ni nini na iko wapi!!?
hii ndiyo misukule ya mambe kimangi ambayo inamfuata kokote aendako pia amewashikia akili hawajielewi.
CC: rutegeramisi gwategera
Huna lolote bhanaNinajua mkuu sijabahatisha hivi angekuwa mtz amepotea kuna chochote kingeendelea nafahamu nilichomaanisha akili kubwa atanielewa
Huna lolote mkuu,kubal tu kwamba umezid kuichukia nchi yako hadi hao unaowashobokea wamekushangaaAkili kubwa atanielewa ila toto ya mama haezi elewa
Hivi ingekuwa tz mtu yiko potea kuna lolote ingeendelea?
Mitu ya kenya inajitambua
Tz ya viwanda
Sasa wewe ni mtanzania au muhindi mbona hata kiswahili hujui? Nyumbu wewe.Akili kubwa atanielewa ila toto ya mama haezi elewa
Hivi ingekuwa tz mtu yiko potea kuna lolote ingeendelea?
Mitu ya kenya inajitambua
Si ndio tumeambiwa tuige kutoka kwao mkuu au umesahau?Kenya nao kutekana wamo
AsanteHuna lolote bhana
Tatizo lenu huwa mnajiona viiiiiiiiichwaaa
kumbe ba-vichwa maji
Samahan lknAsante
Wafuasi gani? Rudi kwenye matokeo ya uchaguzi wa Ugavana wa Nairobi agosti nane, mwaka uliopita. Hapo utaona kura alizopata, hata hausigeli wake sidhani alimpigia kura. Wagombea wenzake walipata mamia ya maelfu ya kura yeye hata mia tano tu kufikisha ilikuwa ni ishu!sio rahisi atoweke..
icc itahamia kenya. miguna ana washabiki na wafuasi wengi sana,,
![]()
weee alichoongea umemuelewa??Povu la nini wewe qm!