Barabara kuu inayounganisha Kenya na Tanzania mjini Migori, imefungwa kupinga kutoweka kwa Miguna Miguna

Barabara kuu inayounganisha Kenya na Tanzania mjini Migori, imefungwa kupinga kutoweka kwa Miguna Miguna

Miguna Miguna kashikiliwa na polisi.

Kweli kashikiliwa na polisi sawa alakini, onyesa yeye au peleka yeye mahakamani. Hapana kuja nasema ati; Tumepeleka yeye Kajiado mahakamani. Kwani usimpe nafasi hata ya kusalamiana na muke yake??
Otaona ile moto nawaka kama haitaonesa yeye. Sisi nangojea baba iseme tufanye nini.
 
Kweli kashikiliwa na polisi sawa alakini, onyesa yeye au peleka yeye mahakamani. Hapana kuja nasema ati; Tumepeleka yeye Kajiado mahakamani. Kwani usimpe nafasi hata ya kusalamiana na muke yake??
Otaona ile moto nawaka kama haitaonesa yeye. Sisi nangojea baba iseme tufanye nini.
Hehehe una'bore' zaidi ya MC Pilipili! 😀
 
Hehehe una'bore' zaidi ya MC Pilipili! 😀
Kama na bore angalia ile kitu natokea huko Narobi. Mbona ile mitu nawachia yeye saa ii. Hata usiku ya manane Miguna ya Miguna nawachiwa tu. Sasa iko wapi ile mineno iko nasema ati Sisi hapana wachia yeye. Mutarukaruka wee lakini misho nakubali wachia baba hiyo State House tu
 
Kama na bore angalia ile kitu natokea huko Narobi. Mbona ile mitu nawachia yeye saa ii. Hata usiku ya manane Miguna ya Miguna nawachiwa tu. Sasa iko wapi ile mineno iko nasema ati Sisi hapana wachia yeye. Mutarukaruka wee lakini misho nakubali wachia baba hiyo State House tu
Hehehehe wewe kinaa
Hapana leta micheeso, sisi nataka teargas, wee najua teargas dawa ya homa, kama hapana onesa Miguna sisi tawasa moooto.
 
hajui HATA ANACHOSEMA maana hajui HATA miguna ni nini na iko wapi!!?
hii ndiyo misukule ya mambe kimangi ambayo inamfuata kokote aendako pia amewashikia akili hawajielewi.

CC: rutegeramisi gwategera
sasa si uelimishe hiyo miguna nini hata mimi sijui naona unatukana tu wa tz bhanw
 
nasikia kapakizwa kwenye ndege na kurudishwa canada.
 
hajui HATA ANACHOSEMA maana hajui HATA miguna ni nini na iko wapi!!?
hii ndiyo misukule ya mambe kimangi ambayo inamfuata kokote aendako pia amewashikia akili hawajielewi.

CC: rutegeramisi gwategera
Kwa hiyo wewe unayesema hajui Miguna iko wapi ndo mjuzi? Mbona kiwango chenu cha uelewa kinalingana tu?
 
Kweli kashikiliwa na polisi sawa alakini, onyesa yeye au peleka yeye mahakamani. Hapana kuja nasema ati; Tumepeleka yeye Kajiado mahakamani. Kwani usimpe nafasi hata ya kusalamiana na muke yake??
Otaona ile moto nawaka kama haitaonesa yeye. Sisi nangojea baba iseme tufanye nini.
Haha kweli nimecheka sana. Kiswahili chako ni kibovu kweli
 
Haha kweli nimecheka sana. Kiswahili chako ni kibovu kweli


Wacha kuangalia kiswaili yangu. Wewe angalia ile kitu hii mitu nafanya apa, iko nafurusha Miguna yetu kama umbwa na kutupa uko kwa watu ingine uko. Lasima watu ijue kuwa Miguna ni mutu ya Kenya hapana ya ulaya
 
Haha kweli nimecheka sana. Kiswahili chako ni kibovu kweli
Huyo ni mtanzania flani tu, sijui ni stimu za mbege zinamsumbua au ni za wanzuki. Ukiona mtu anasema kuboa badala ya kuboo, kama wanavosema kwa lugha ya sheng, usikuhadae ukadhani ni mkenya.
 
Back
Top Bottom