Barabara Kuu ya Dar-Tunduma imefungwa kwa saa mbili hadi sasa

Wacha ujuaji wewe. Kila nchi ina mambo yake. Waambie Wamarekani waiondoe Statue of Liberty uone.
Marekani ni nchi ya Freemason, usiige vitu usivyovijuwa.

Kuna mwenge wa olimpiki na kuna kifimbo cha malkia huu ni ushirikina mtupu.

Kama hujui kitu ni bora uombe kuelimishwa na waliokuzidi upeo.

Familia ya malkia Elizabeth ni damu ya kijini ndio wanatumia kifimbo cha malkia kuipumbaza dunia na kukizungusha common wealth countries.

Jiulize ni Kwa nini Marekani imetawaliwa na Uingereza lakini siyo mwanachama wa common wealth?
 
Ndio sera zenu hizo kalalamike vikaoni!
Mimi Kila siku humu ndani jamvin nawashauri watu kama mambo magumu jiue commit suicide Ndo suluhishisho pekee la matatizo. Kuna haja Gani sasa ya kuendelea kuishi na kadhia kama hizi? Bora uondoke tu uwaachie linchi lao ukapumzike milele.

I envy the dead
 
Duh! Kumbe unaamini na majini!?
 
Kwanini hiyo mizigo isitumie reli ya Tazara.
 
Hilo ndio AGANO LENU MKILOFANYA so mtulie tu mlitumikie[emoji12][emoji41]
 
Uhafifu wa IQ zetu ndio unaotutesa, kuzuia shughuli za Uchumi ati unakimbiza moto😆

Halafu baadae tutamtafuta wa kumlaumu utasikia "Tunahujumiwa na Mabeberu"
Watu walikuwa wanawahi border kwa shughuli za kibiashara, halafu barabara inafungwa for 4hrs, huo ufanisi kibiashara utatoka wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…