Barabara muhimu itakayomuondoa Halima Mdee, Makonde-Baraza la Mitihani-Goba rd

Barabara muhimu itakayomuondoa Halima Mdee, Makonde-Baraza la Mitihani-Goba rd

Hivi nyie mnapiga kula au umeamka ukaona uwongee ya mdee huyo ngwajima kwa kawe apana bora tuumpe mdee aendelee
Hongera lakini traffic count ya barabara hizi ni ndogo sana kuliko hiyo barabara niliyoitaja, Makonde-Baraza la Mitihani hadi junction ya barabara ya Goba.
Na nieleweke , siyo kwamba haina umuhimu.

Kiujumla Halima Hastahili kutuwakilisha ili tupate maendeleo.
 
Hongera lakini traffic count ya barabara hizi ni ndogo sana kuliko hiyo barabara niliyoitaja, Makonde-Baraza la Mitihani hadi junction ya barabara ya Goba.
Na nieleweke , siyo kwamba haina umuhimu.

Kiujumla Halima Hastahili kutuwakilisha ili tupate maendeleo.
Na sio barabara hiyo tu. Barabara zote za jimbo la kawe ni mahandaki. Halima hajasikika hata siku moja akizizungumzia. Yeye amekazana kutukana watu tu.
 
Miaka yote Halima kakalia kiti cha ubunge imekuwa batili kwa wananchi wa Mbezi.
Ameshindwa kuhamasisha watu na hata yeye mwenyewe kushauri vyombo husika kutatua kero za wananchi wa Mbezi hususan barabara.
Halime mara zote amefungwa kutetea chama chake tu na si wananchi wa Mbezi/Kawe.
Na diwani kafanya nini? vipi mwenyekiti wa mtaa? kuwa fair
 
Barabara ya Makonde-Baraza la Mitihani hadi kuunga Goba rd, ni kiungo muhimu sana kwa wakazi wa Mbezi.

Barabara hii ni kubwa sana na kulu Mbezi Juu kuna vigogo muhimu kama Katibu zMkuu TAMISEMI na mkuu wa TAKUKURU,ambao kwa nyadhifa zao kukaa kule ni lazima zingepata jicho la utofauti.

Mbunge Halima Mdee hajawahi kusikika si bungeni tu hata kwenye vyombo vya habari, akipigia chapuo ujenzi wa barabara hii.
Makonda pamoja na ugeni wake jijini ingalau aliipigia debe barabara ya Afrikana-Salasala na ujenzi ulianza.

Wananchi wa sehemu hizo wameapa kumzomea Halima Mdee kila atakapokuwa kama akijidai kufika kuomba kura sehemu hizo.
Kwa sasa hivi barabara hii inatunzwa kwa kujitolea na mkazi wa sehemu hizo ambaye ni mkandarasi, na kwa kujitolea kwa zaidi ya miaka 15.

Sasa naona anaishiwa vocha!

Wananchi wanataka mbunge, na si Halima Mdee, atakaye wasiliana na TARURA kupigia chapuo ujenzi wa barabara hii.
Halima hawezi kuondoka kwa kura za ndani ya sanduku, ataondoka kwa maamuzi ya ofisini.
 
Kazi za mbunge Halima ni kumkeep kmpni Ester Bulaya au?
Ndicho mlichomtuma?
Haihitaji PhD kutambua akili zilizochanganyika na haja kubwa,siku zote zinajadili watu badala ya kujenga hoja.
IMG-20200403-WA0003.jpg
 
Barabara ya Makonde-Baraza la Mitihani hadi kuunga Goba rd, ni kiungo muhimu sana kwa wakazi wa Mbezi.

Barabara hii ni kubwa sana na kulu Mbezi Juu kuna vigogo muhimu kama Katibu zMkuu TAMISEMI na mkuu wa TAKUKURU,ambao kwa nyadhifa zao kukaa kule ni lazima zingepata jicho la utofauti.

Mbunge Halima Mdee hajawahi kusikika si bungeni tu hata kwenye vyombo vya habari, akipigia chapuo ujenzi wa barabara hii.
Makonda pamoja na ugeni wake jijini ingalau aliipigia debe barabara ya Afrikana-Salasala na ujenzi ulianza.

Wananchi wa sehemu hizo wameapa kumzomea Halima Mdee kila atakapokuwa kama akijidai kufika kuomba kura sehemu hizo.
Kwa sasa hivi barabara hii inatunzwa kwa kujitolea na mkazi wa sehemu hizo ambaye ni mkandarasi, na kwa kujitolea kwa zaidi ya miaka 15.

Sasa naona anaishiwa vocha!

Wananchi wanataka mbunge, na si Halima Mdee, atakaye wasiliana na TARURA kupigia chapuo ujenzi wa barabara hii.
Siasa za awamu hii ni za kishamba sana!! Sasa halima afanye nini wakati kikwazo kinajulikana ni nini?! Unasikia mtu tena msomi anajisifia kuwa eti mbona barabara za tandare zimewekewa lami, hajui kuwa huo ni mradi maalum wa WB,? Ubungo nako si hivyo hivyo, kibamba?!! Siasa za kishambaa sana!!
 
Jimbo zima la kawe suala la barabara na mifereji halima ameshindwa kulipigania.

Kuna maeneo kama ya Mbweni Malindi, Kwa Shamte, Teta, JKT na Ununio hakuna mifereji mikubwa ya maji inayopeleka maji baharini mvua zinaponyesha haya maeneo hugeuka visiwa kwa ujaaji wa maji.

Ili hali kinondoni mpaka vichochoro vimepigwa lami, Kinondoni Bwawani kumejengwa mifereji mafuriko tena hakuna.

#2020 Kawe twende na Timoth au Furaha au Pascal Mayalla. CCm Oyeee.
 
Jimbo zima la kawe suala la barabara na mifereji halima ameshindwa kulipigania.

Kuna maeneo kama ya Mbweni Malindi, Kwa Shamte, Teta, JKT na Ununio hakuna mifereji mikubwa ya maji inayopeleka maji baharini mvua zinaponyesha haya maeneo hugeuka visiwa kwa ujaaji wa maji.

Ili hali kinondoni mpaka vichochoro vimepigwa lami, Kinondoni Bwawani kumejengwa mifereji mafuriko tena hakuna.

#2020 Kawe twende na Timoth au Furaha au Pascal Mayalla. CCm Oyeee.
Pesa anatoka mtu mmoja tu na majibu huwa tunayapata kwenye mkutano yake shauri ya viherehere vyenu kuchagua upinzani!
 
Sasa halima ndo anayekusanya Kodi za wanakawe?Mimi binafsi nimeisikia akizungumzia hiyo barabara na bado serikali haijajenga.Sasa kosa la mbunge Ni Lipi?Na je ndani ya kawe hakuna barabara iliyojengwa 2015-20?Kama ipo Basi kumbe anaweza kuwasiliana na Tarura lakini so jukumu la mbunge kujenga barabara nashangaa hata wewe mabambas hujui hili
Mataga yalishadanganywa kwamba barabara,maji,umeme,shule nk Ni kazi ya mbunge.Sasa hivi yanadanganywa eti uchumi wa chini kati wakati bado yanalipwa 7000.
 
Pesa anatoka mtu mmoja tu na majibu huwa tunayapata kwenye mkutano yake shauri ya viherehere vyenu kuchagua upinzani!


Kwani kuchagua upinzani ni kosa?
Mbona wapo kikatiba?!

Ishu haipaswi kuwa CCM au chama cha upinzani ishu inapaswa kuwa mtu mahiri wa kuweza kuwakilisha wananchi vyema .

Hata upinzani mfano wakibadilisha mgombea jimbo la kawe wakamuweka mwingine mfano wakamuweka mgombea kuwa John Heche Yani nakuambia atashinda kwa kishindo kikubwa sana.

Hatupaswi kuangalia wa chama gani tunapaswa kuangalia mtu gani!

Ndiyo maana kwa kuwa chadema wameendelea kumuacha Halima kuwa mgombea wao basi hali hiyo inafanya watu waanze kuangalia wagombea wa vyama vingine ikiwemo CCM
 
Sasa halima ndo anayekusanya Kodi za wanakawe?Mimi binafsi nimeisikia akizungumzia hiyo barabara na bado serikali haijajenga.Sasa kosa la mbunge Ni Lipi?Na je ndani ya kawe hakuna barabara iliyojengwa 2015-20?Kama ipo Basi kumbe anaweza kuwasiliana na Tarura lakini so jukumu la mbunge kujenga barabara nashangaa hata wewe mabambas hujui hili
Kosa lake ni kukosa nidhamu pale anapoongea na wanaoweza kufanya kile anachotaka yeye kama muwakilishi wa wananchi,kwa kua walimchagua acha wasote.. mwanamke gani hata kama unataka kuonekana bungeni unaropoka na kukosea watu heshima kwa kujifanya anapanga maneno chungu mzima,kiufupi wabunge wa upinzani wengi wao huongelea sifa,kusikika ili kuweka story mitaani na wivu wa kukalia madaraka wanayo tamani kutoka kwa wengine hasa chama kinachoongoza nchi
 
Naona umesha pigwa sindano ya ukabila na sasa dawa imefanya kazi ipasavyo.

Tanzania yetu haiwezi kutawaliwa kikabila kama mnavyo jidanganya, na mjue kabila lenu halita weza.
Barabara ya Makonde-Baraza la Mitihani hadi kuunga Goba rd, ni kiungo muhimu sana kwa wakazi wa Mbezi.

Barabara hii ni kubwa sana na kulu Mbezi Juu kuna vigogo muhimu kama Katibu zMkuu TAMISEMI na mkuu wa TAKUKURU,ambao kwa nyadhifa zao kukaa kule ni lazima zingepata jicho la utofauti.

Mbunge Halima Mdee hajawahi kusikika si bungeni tu hata kwenye vyombo vya habari, akipigia chapuo ujenzi wa barabara hii.
Makonda pamoja na ugeni wake jijini ingalau aliipigia debe barabara ya Afrikana-Salasala na ujenzi ulianza.

Wananchi wa sehemu hizo wameapa kumzomea Halima Mdee kila atakapokuwa kama akijidai kufika kuomba kura sehemu hizo.
Kwa sasa hivi barabara hii inatunzwa kwa kujitolea na mkazi wa sehemu hizo ambaye ni mkandarasi, na kwa kujitolea kwa zaidi ya miaka 15.

Sasa naona anaishiwa vocha!

Wananchi wanataka mbunge, na si Halima Mdee, atakaye wasiliana na TARURA kupigia chapuo ujenzi wa barabara hii.
 
Wachana nao hao waendekeza ukabila kisa baba yupo basi wanajiona wao ndiyo wanaweza kuitawala nchi mzima
Sasa halima ndo anayekusanya Kodi za wanakawe?Mimi binafsi nimeisikia akizungumzia hiyo barabara na bado serikali haijajenga.Sasa kosa la mbunge Ni Lipi?Na je ndani ya kawe hakuna barabara iliyojengwa 2015-20?Kama ipo Basi kumbe anaweza kuwasiliana na Tarura lakini so jukumu la mbunge kujenga barabara nashangaa hata wewe mabambas hujui hili
 
Back
Top Bottom