Chisamba
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 1,521
- 787
alafu huyu ukimsimamisha sasa hivi unategemea nn ...bora ccm haohao tu dada yule mpuuzi kupindukiamiaka mitano ameishia kwenda mahakani na central police tu...ni mpuuzi yule dada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alafu huyu ukimsimamisha sasa hivi unategemea nn ...bora ccm haohao tu dada yule mpuuzi kupindukiamiaka mitano ameishia kwenda mahakani na central police tu...ni mpuuzi yule dada
ila kazi anafanya..hao akina mdee wanashinda polisi nani tumchagueYaan we unamuani bashite yule ni mbabaishaji tu.
Mbunge hajengi barabaraBarabara ya Makonde-Baraza la Mitihani hadi kuunga Goba rd, ni kiungo muhimu sana kwa wakazi wa Mbezi.
Barabara hii ni kubwa sana na kulu Mbezi Juu kuna vigogo muhimu kama Katibu zMkuu TAMISEMI na mkuu wa TAKUKURU,ambao kwa nyadhifa zao kukaa kule ni lazima zingepata jicho la utofauti.
Mbunge Halima Mdee hajawahi kusikika si bungeni tu hata kwenye vyombo vya habari, akipigia chapuo ujenzi wa barabara hii.
Makonda pamoja na ugeni wake jijini ingalau aliipigia debe barabara ya Afrikana-Salasala na ujenzi ulianza.
Wananchi wa sehemu hizo wameapa kumzomea Halima Mdee kila atakapokuwa kama akijidai kufika kuomba kura sehemu hizo.
Kwa sasa hivi barabara hii inatunzwa kwa kujitolea na mkazi wa sehemu hizo ambaye ni mkandarasi, na kwa kujitolea kwa zaidi ya miaka 15.
Sasa naona anaishiwa vocha!
Wananchi wanataka mbunge, na si Halima Mdee, atakaye wasiliana na TARURA kupigia chapuo ujenzi wa barabara hii.
Tunahitaji mtu atakayeongea na kueleweka na TARURA, Halima hawezi.Mbunge hajengi barabara
Hiyo barabara Ni kazi ya tarura
Sio kazi yakeTunahitaji mtu atakayeongea na kueleweka na TARURA, Halima hawezi.
Wewe mwenyewe ni wa kuja kawe. Kwani umeambiwa ukiwa mbunge unamilikishwa magari ya kitengeneza barabara?.Miaka mitano hatujawahi kumwona akipiga jimboni Kawe kutatua kero za barabara.
Makonda kaja na kaingilia barabara mbovu ya Salasala, ingalau inatengenezwa kiwango cha lami.
Sio kazi yake
Ni kazi ya tarura, wizara husika na DED wa kawe na afisa mipango wao
Mbunge atakachofanya Ni kuonyesha umuhimu wa kutatua kero
Diwani wa hapo Ni Nani? Wa chama gani na amefanya Nini?
Halima ache uboya, na aende zake.Wewe mwenyewe ni wa kuja kawe. Kwani umeambiwa ukiwa mbunge unamilikishwa magari ya kitengeneza barabara?.