Barabara muhimu itakayomuondoa Halima Mdee, Makonde-Baraza la Mitihani-Goba rd

Barabara muhimu itakayomuondoa Halima Mdee, Makonde-Baraza la Mitihani-Goba rd

miaka mitano ameishia kwenda mahakani na central police tu...ni mpuuzi yule dada
alafu huyu ukimsimamisha sasa hivi unategemea nn ...bora ccm haohao tu dada yule mpuuzi kupindukia
 
Halima nampenda awe mpenzi.
Akikubali namwachisha ubunge/siasa
 
Barabara ya Makonde-Baraza la Mitihani hadi kuunga Goba rd, ni kiungo muhimu sana kwa wakazi wa Mbezi.

Barabara hii ni kubwa sana na kulu Mbezi Juu kuna vigogo muhimu kama Katibu zMkuu TAMISEMI na mkuu wa TAKUKURU,ambao kwa nyadhifa zao kukaa kule ni lazima zingepata jicho la utofauti.

Mbunge Halima Mdee hajawahi kusikika si bungeni tu hata kwenye vyombo vya habari, akipigia chapuo ujenzi wa barabara hii.
Makonda pamoja na ugeni wake jijini ingalau aliipigia debe barabara ya Afrikana-Salasala na ujenzi ulianza.

Wananchi wa sehemu hizo wameapa kumzomea Halima Mdee kila atakapokuwa kama akijidai kufika kuomba kura sehemu hizo.
Kwa sasa hivi barabara hii inatunzwa kwa kujitolea na mkazi wa sehemu hizo ambaye ni mkandarasi, na kwa kujitolea kwa zaidi ya miaka 15.

Sasa naona anaishiwa vocha!

Wananchi wanataka mbunge, na si Halima Mdee, atakaye wasiliana na TARURA kupigia chapuo ujenzi wa barabara hii.
Mbunge hajengi barabara

Hiyo barabara Ni kazi ya tarura
 
Tunahitaji mtu atakayeongea na kueleweka na TARURA, Halima hawezi.
Sio kazi yake

Ni kazi ya tarura, wizara husika na DED wa kawe na afisa mipango wao

Mbunge atakachofanya Ni kuonyesha umuhimu wa kutatua kero

Diwani wa hapo Ni Nani? Wa chama gani na amefanya Nini?
 
Miaka mitano hatujawahi kumwona akipiga jimboni Kawe kutatua kero za barabara.
Makonda kaja na kaingilia barabara mbovu ya Salasala, ingalau inatengenezwa kiwango cha lami.
Wewe mwenyewe ni wa kuja kawe. Kwani umeambiwa ukiwa mbunge unamilikishwa magari ya kitengeneza barabara?.
 
Sio kazi yake

Ni kazi ya tarura, wizara husika na DED wa kawe na afisa mipango wao

Mbunge atakachofanya Ni kuonyesha umuhimu wa kutatua kero

Diwani wa hapo Ni Nani? Wa chama gani na amefanya Nini?
Wewe mwenyewe ni wa kuja kawe. Kwani umeambiwa ukiwa mbunge unamilikishwa magari ya kitengeneza barabara?.
Halima ache uboya, na aende zake.
Nafasi itachukuliwa na ma Master of Ceremony wa kisiasa wanaojua nini kinatakiwa na wanachi.
 
Back
Top Bottom