Barabara muhimu itakayomuondoa Halima Mdee, Makonde-Baraza la Mitihani-Goba rd

Angalia hadi mwisho
 
Katika mkoa unaongoza kuwa na watu wajinga Dar,Mbunge anatoa wapi pesa za kujenga barabara
No wonder waitwa kamongo, samaki mtamu asiye na akili.
Mchukueni mumpakate Halima na mpenziwe wa moyo Ester Bulaya mkawasaidie kukaa selo ya wanawake pamoja badala ya kutatua kero za barabara kwa wananchi.
 
No wonder waitwa kamongo, samaki mtamu asiye na akili.
Mchukueni mumpakate Halima na mpenziwe wa moyo Ester Bulaya mkawasaidie kukaa selo ya wanawake pamoja badala ya kutatua kero za barabara kwa wananchi.
Huna akili kabisa na kwangu mimi wewe ni zumbukuku kwani hujui nini unakisimamia
 
Wewe kilaza hiyo video umeangalia mpaka mwisho au unashabikia upumbavu tu hapa?
Usivyo na akili, I dont subscribe to stupidity that you cant explain in your own words.
Hebu agiza popocorn na me enjoy hizo picha na Halima.
 
Halima amekuwa serikali inayokusanya kodi hata alumiwe kwa narabara. I think all women of Kawe should stand with her!
 
Miaka mitano hatujawahi kumwona akipiga jimboni Kawe kutatua kero za barabara.
Makonda kaja na kaingilia barabara mbovu ya Salasala, ingalau inatengenezwa kiwango cha lami.
nadhani akili zimemtoka tayari yule dada..sio bure..road ya njia panda wazo mpaka njia nne goba inasusua kwenye matengenezo
 
Fuatilia wapinzani na wananchi kwenye majimbo ya upinzani wanataka kueleza matatizo yanayowakabili, majibu wanayopewa siyo ya Rais.
 


Goba ipo jimbo la Kibamba siyo Kawe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…