Barabara mwendokasi kimara Hadi mbezi mwisho ina zaidi ya mwaka haitumiki?

Barabara mwendokasi kimara Hadi mbezi mwisho ina zaidi ya mwaka haitumiki?

Mejjah92

Member
Joined
May 21, 2021
Posts
36
Reaction score
32
Barabara ya mwendokasi kutoka kimara mwisho pale around Hadi mbezi mwisho inatimiza mwaka haijafunguliwa zaidi bajaji na pikipiki kupitia barabara hizo.

Hali hii inafanya mwendokasi itembee barabara mchanganyiko na kusababisha ikae foleni wakati barabara zake tunaona malori yamegeuza sehemu kupark.....?

Wahusika wamejisahau JPM angekuwepo hii barabara inafanya kazi🚍🚍🚍
 
Awamu hii maneno mengi sanaa kazi sifuri
Mradi wa kwenda mbagala napo unasuasua
Kiukweli mambo haya alikuwa anayawwzea jiwe ila hawa mchwa wa sahv hamna kitu

Ova
 
Kwanza haina stand hata moja, picha linaanzia hapo wanashushaje abiria.
 
Back
Top Bottom