DOKEZO Barabara nyingi zinazounganisha Vijiji vya mkoa wa Ruvuma hazipitiki kipindi Cha mvua

DOKEZO Barabara nyingi zinazounganisha Vijiji vya mkoa wa Ruvuma hazipitiki kipindi Cha mvua

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Maguguma

Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
13
Reaction score
7
Kipindi cha mvua barabara nyingi zinazounganisha Vijiji vilivyopo Mkoani Ruvuma hazipitiki kirahisi na zingine hazipitiki kabisa. hali inayopelekea wanakijiji wengi kusafirisha mazao yao kwa shida toka eneo moja kwenda eneo lingine.

Inayoonekana katika picha ni barabara iliyopo katika Kata ya Mipotopoto. Barabara hiyo inaunganisha Kijiji Cha Uhuru na Mitomoni inayopitia hifadhi ya Liparamba (Wilaya ya Nyasa).

Barabara nyingi zinatapakaa matope na mashimo makubwa yanayotokana na mvua. Kuna haja ya kuziboresha kwa kiwango bora.

IMG-20230509-WA0008.jpg

Pia soma ~ Serikali inatarajiwa kuanza ujenzi Daraja la Mkili na Mitomoni Mkoani Ruvuma
 
... huko zaidi ya 100% ni chama letu toka enzi na enzi.
 
... huko zaidi ya 100% ni chama letu toka enzi na enzi.
Tufanyaje tena na wametuambia tukichagua Wapinzani hawatuletei maendeleo. Tumeridhika na hayo maendeleo ya barabarani ya One Way kwa kiwango cha Tope na Madimbwi.
 
Back
Top Bottom