KERO Barabara Rusahunga Benaco haipitiki kwa nini Tanroads Biharamulo wasitumbuliwe?

KERO Barabara Rusahunga Benaco haipitiki kwa nini Tanroads Biharamulo wasitumbuliwe?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Wilaya moja tu ya Missenyi zimo Kilimanjaro 2
Sasa mbona tunawaburuza kimaendeleo tangu uhuru? Ukubwa wenu kieneo una faida gan? Hahaha kichwa kikubwa akili kisude
FB_IMG_15622075172485264.jpeg
 
Nikujuze tu kuanzia Rusahunga biharamulo kwenda karagwe au kampla ndo kuna barabara pana njia tano kuliko sehemu yoyote nchi hii achana na barabara zenu upana wa kipande cha sabuni hii ya uku ni njia tano nikiwa na maana magari manne yanapita kwa wakati mmoja mawili kuja mawili kwenda na sehemu yawatembea kwa miguu mjinga wewe.
Wewe usitake kudanganya umma,njia ya lusahunga nyakanaz kwenda bmulo muleba karagwe haina njia hata mbili Ni ya kawaida naijua vilivyo
ETI HAKUNA SEHEMU TZ KUSIKO NA DABO ROAD? hapa Ni arusha_moshi double road mshamba wewe
FB_IMG_15618789336189920.jpeg
 
Njia tano zipo Dar peke yake labda na Mwanza.

Hiyo Barabara unayosema ninaijua, haina njia 5, ni njia mbili. Ya kwenda na kurudi.

Njia tano haziwezi kujengwa mkoa masikini kama wa Kagera.

Njia 5 zinajengwa kwenye mikoa yenye kipato kikubwa siyo nyie wavivu
Yan mkuu nimeshangaa hiyo njia naijua vyema Ni ya kawaida Tena IPO kwenye ujenzi ati njia tano hahaha anadhan hatuujui mkoa wao? Njia mbili tu Hakuna sembuse tano?
Waje washangae hii ya Arusha_moshi ambayo Ni double road
FB_IMG_15618789336189920.jpeg
 
Pole sana kujifanya unafahamu kumbe ujui chochote nitakupigia picha upana wa hii barabara alafu ulinganishe na ile ya kwenu dar singida.
Acha ushamba wew,hiyo njia yote kwanzia lusahunga nyakanaz imefumuliwa inajengwa upya sasa hizo njia tano ni zipi ? Au unadhan hatuijui hiyo njia? Kuna vitu vinachekesha kwa kweli
 
Mbona unaongea Kwa chuki na hasira meko?

Mbona unatoa povu kiasi hicho ? Vip unataka picha?

Hiv unaona vijiji vya Bukoba lakini? Huku ndo unalinganisha na huko uru na kishimundu?View attachment 1136842
Wewe kweli umelewa rubisi vijij vya kagera havijafikia ubora wa kilimanjaro ndio maana ripoti inatuambia kuwa kilimanjaro wananchi Wana maisha bora kwa 90% wakati kagera ni 60% tu huoni tofauti?
Level ya Kilimanjaro kimaendeleo Ni dar (92%) sio nyie msio hata na vyoo Hadi mpigiwe kampeni ya kujenga vyoo
FB_IMG_15622075172485264.jpeg
 
Ukifika Nyakanazi unaiona kama Tanzania imeisha na unaingia nchi nyingine...eti kuna barabara!! Uliza kama kuna traffic barabarani, kama hutasikia wapo Mizani na Benaco.....na ukiwakuta hapo katikati basi ujue kuna ajali au wameenda kukamata majambazi
 
Ukifika Nyakanazi unaiona kama Tanzania imeisha na unaingia nchi nyingine...eti kuna barabara!! Uliza kama kuna traffic barabarani, kama hutasikia wapo Mizani na Benaco.....na ukiwakuta hapo katikati basi ujue kuna ajali au wameenda kukamata majambazi
Barabara zinatengenezwa zinakuwa na kualibika ile barabara ni potential kuliko mnavyofikilia nakinachokuja kutengenezwa hapo mtaanza kusujudu. Kumbuka mwenye nchi anatokea uko. Naomba msije kuleta thread za lawama umu ndani maana hakika nawaambia ujenzi unaoendelea toka ngara niwakipekee.
 
Mleta uzi kasema wazibe mashimo....

Hivi ukiwa unampango wa kujenga nyumba mpya; hutafanya ukarabati wa nyumba unayoishi hata kama inavuja na pengine inaweza kugharimu maisha ya wanafamilia!

Maisha ya watu sio kama slogan ya Voda "yajayo yanafurahisha!"
 
Angalia njia hii magari mangapi yanaharibika kwa kuvunja spare mbalimbali katika magari! Au kwa sababu wamiliki hawajathubutu kuidai serikari kwa kutotimiza wajibu wa kuhakikisha free movement
 
Ukifika Nyakanazi unaiona kama Tanzania imeisha na unaingia nchi nyingine...eti kuna barabara!! Uliza kama kuna traffic barabarani, kama hutasikia wapo Mizani na Benaco.....na ukiwakuta hapo katikati basi ujue kuna ajali au wameenda kukamata majambazi

Ni asiyewahi kupita barabara hii pekee ndiye anayeweza andika kireja reja in favor ya tanroads. Hawa jamaa walikuwa wa kuwajibishwa and this is long overdue.
 
Yan mkuu nimeshangaa hiyo njia naijua vyema Ni ya kawaida Tena IPO kwenye ujenzi ati njia tano hahaha anadhan hatuujui mkoa wao? Njia mbili tu Hakuna sembuse tano?
Waje washangae hii ya Arusha_moshi ambayo Ni double roadView attachment 1153808

Mkuu makwetu mwendo wa ajali kwa ubovu wa barabara ni kama hivi:
 
Hiyo haifai hata kuitwa barabara ni kama mashimo ya migodini tu,gari hapo ndipo zinapohenyeka kisawasawa
 
Back
Top Bottom