peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Kuna mahali nimesoma kwenye bajeti ya maendeleo ya serikali kuu 2023/24 inaonesha barabara ya matundasi kwenda itumbi kujengwa kwa kiwango cha lami.
Mwenye uelewa wa jambo hili ninaomva atujuze.
Je, mkandarasi alishapatikana?
Je, ujenzi unaanza lini?
Mwenye uelewa wa jambo hili ninaomva atujuze.
Je, mkandarasi alishapatikana?
Je, ujenzi unaanza lini?