Barabara ya kilomita 13 Matundasi - Chunya -Itumbi kujengwa kwa kiwango cha lami?

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Kuna mahali nimesoma kwenye bajeti ya maendeleo ya serikali kuu 2023/24 inaonesha barabara ya matundasi kwenda itumbi kujengwa kwa kiwango cha lami.

Mwenye uelewa wa jambo hili ninaomva atujuze.

Je, mkandarasi alishapatikana?
Je, ujenzi unaanza lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…