Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 10,174
- 89,364
Hakika katika wilaya nchini zinazosababisha Tanzania kuendelea kuwepo kwenye kumi bora ya nchi zenye wanachi wasio na furaha basi hii wilaya ina mchango mkubwa.
Barabara ni ya vumbi na mbaya zaidi ina matuta madogomadogo a.k.a rasta ambapo kwa basi au gari mtikisiko unaotoka kwa kupita kwenye hii barabara unaweza ukaacha baadhi ya parts za gari njiani. Yani una vibrate mpaka mwili unakufa ganzi.
Huwezi kuongea na simu au hata kupiga stori na mtu sababu ya kelele zinazosababishwa na mtikisiko wa gari.
Serikali hebu fanyeni jambo hii wilaya ni kongwe hizo 45kms zilizobaki toka round about ya Kongwa mzutandike mkeka.
Barabara ni ya vumbi na mbaya zaidi ina matuta madogomadogo a.k.a rasta ambapo kwa basi au gari mtikisiko unaotoka kwa kupita kwenye hii barabara unaweza ukaacha baadhi ya parts za gari njiani. Yani una vibrate mpaka mwili unakufa ganzi.
Huwezi kuongea na simu au hata kupiga stori na mtu sababu ya kelele zinazosababishwa na mtikisiko wa gari.
Serikali hebu fanyeni jambo hii wilaya ni kongwe hizo 45kms zilizobaki toka round about ya Kongwa mzutandike mkeka.