Barabara ya kutokea Kenya kwenda Sudan Kusini full mtelezo kwa raha tu yaani

Barabara ya kutokea Kenya kwenda Sudan Kusini full mtelezo kwa raha tu yaani

Listen, this road is the one from South Africa to Cairo and passes to some countries, so there is one runs through Arusha to Nairobi and the other one is runs through the sirari, Kisumu to south Sudan.
Ungeandikwa kiswahili tupu ungepungukiwa nini?

Unakuwa kama yule mzee wa Popi uzidi tu dai in ze rake
 
Actually it's the A1, starts from Isebania/Sirare through Kisii, Kisumu, Kakamega, Kitale, Kapenguria, Lodwar, Lokichoggio to S. Sudan.View attachment 1689124
Hii ramani inaonesha namna gani Tanzania imekua muhimu kwenu, naona zipo barabara za lami tofauti 4 za kuingia Tanzania, wakati majirani wengine hata ya vumbi hamna
 
Kwanza mlete km kamili kati ya Kenya-South Sudan border na Lokichogoi Town!
 
Kwanza mlete km kamili kati ya Kenya-South Sudan border na Lokichogoi Town!
Sasa unapinga hii pia? Nimekuambia mara ngapi kwamba Kenya inajenga lami kuelekea South Sudan ila huwa sifuatilii? Ama ulikuwa unadhani kwamba nakudanganya? Barabara hii ya kuelekea Sudan Kusini imekuwa ikijengwa kwa miaka kadhaa sasa kwa hivyo usishangae kuona mapicha ya lami yakimwagwa humu.
 
Sasa unapinga hii pia? Nimekuambia mara ngapi kwamba Kenya inajenga lami kuelekea South Sudan ila huwa sifuatilii? Ama ulikuwa unadhani kwamba nakudanganya? Barabara hii ya kuelekea Sudan Kusini imekuwa ikijengwa kwa miaka kadhaa sasa kwa hivyo usishangae kuona mapicha ya lami yakimwagwa humu.
Nimeomba total km halafu uoanishe na zilizojengwa so far!
 
Sudan ya kusini? Mnawaamini sana hao jamaa?
Kwani wana tatizo lipi? Muulize mkenya yeyote kuhusu raia wa S.Sudan ambao wanaishi nchini Kenya. Hutasikia jambo lolote negative kuwahusu. Infact kwa maoni yangu wao ndio 'model immigrants/refugees' nchini Kenya.

Huwa wapo busy na shughuli zao, wanafata sheria na huwa hawana fujo wala bifu na mtu yeyote yule. Tena wamekuwepo Kenya kwa muda mrefu sana na sio tu kwenye kambi ya wakimbizi ya Kakuma, wapo wengi, sanasana kule mtaa wa Ngumo, Lang'ata jijini Nairobi.

Nina rafiki zangu wengi kutoka S.Sudan na nimefika Juba nikielekea mji wa Malakal, asikuhadae mtu na 'stereotypes' kuhusu S.Sudan. Licha ya vita vya muda mrefu jamaa wanajitahidi sana. Kule Juba wakenya wanachapa biashara sio mchezo. Kuna shule, maduka makubwa, hospitali hadi na benki za wakenya kule S.Sudan.

Nilishangaa kuona kwamba mashuleni wanatumia syllabus ya Kenya, mitihani na vitabu vya wanafunzi pia. Usidhani bendera yao ipo hivi kibahati bahati View attachment 1689682
 
Kwani wana tatizo lipi? Muulize mkenya yeyote kuhusu raia wa S.Sudan ambao wanaishi nchini Kenya. Hutasikia jambo lolote negative kuwahusu. Infact kwa maoni yangu wao ndio 'model immigrants/refugees nchini Kenya. Huwa wapo busy na shughuli zao, wanafata sheria na huwa hawana fujo wala bifu na mtu yeyote yule. Tena wamekuwepo Kenya kwa muda mrefu Sana na sio tu kwenye kambi ya wakimbizi ya Kakuma, wapo wengi, sanasana kule mtaa wa Ngumo, Lang'ata jijini Nairobi. Nina rafiki zangu wengi kutoka S.Sudan na nimefika Juba nikielekea mji wa Malakal, asikuhadae mtu na 'stereotypes' kuhusu S.Sudan. Licha ya vita vya muda mrefu jamaa wanajitahidi sana. Kule Juba wakenya wanachapa biashara sio mchezo. Kuna shule, maduka makubwa, hospitali hadi na benki za wakenya kule S.Sudan. Nilishangaa kuona kwamba mashuleni wanatumia syllabus ya Kenya na mitihani na vitabu vya wanafunzi pia. Usidhani rangi za bendera yao zipo hivi kibahati bahati.View attachment 1689613
Nimeshangaa juzi diamond alipokewa na Rais wao kabisa, utafikiri ni Rais wa nchi kumbe ni Rais wa WCB wasafi anakutana na Rais wa nchi, sikutegemea kuona watu in millions wakimshobokea diamond kiasi kile na kuimba nyimbo za diamond utafikiri watoto wa tandale

Kuna mkenya yeyote wanamkubali vile sababu nilishtuka mno.
 
Nimeshangaa juzi diamond alipokewa na Rais wao kabisa, utafikiri ni Rais wa nchi kumbe ni Rais wa WCB wasafi anakutana na Rais wa nchi, sikutegemea kuona watu in millions wakimshobokea diamond kiasi kile na kuimba nyimbo za diamond utafikiri watoto wa tandale

Kuna mkenya yeyote wanamkubali vile sababu nilishtuka mno

Nilitazama hiyo video, tatizo hajui English kama wengine nyote hadi viongozi hamjui English, alipopewa mic aongee akaanza zile ze ze ze zenu.
 
Kwani wana tatizo lipi? Muulize mkenya yeyote kuhusu raia wa S.Sudan ambao wanaishi nchini Kenya. Hutasikia jambo lolote negative kuwahusu. Infact kwa maoni yangu wao ndio 'model immigrants/refugees' nchini Kenya.

Huwa wapo busy na shughuli zao, wanafata sheria na huwa hawana fujo wala bifu na mtu yeyote yule. Tena wamekuwepo Kenya kwa muda mrefu sana na sio tu kwenye kambi ya wakimbizi ya Kakuma, wapo wengi, sanasana kule mtaa wa Ngumo, Lang'ata jijini Nairobi.

Nina rafiki zangu wengi kutoka S.Sudan na nimefika Juba nikielekea mji wa Malakal, asikuhadae mtu na 'stereotypes' kuhusu S.Sudan. Licha ya vita vya muda mrefu jamaa wanajitahidi sana. Kule Juba wakenya wanachapa biashara sio mchezo. Kuna shule, maduka makubwa, hospitali hadi na benki za wakenya kule S.Sudan.

Nilishangaa kuona kwamba mashuleni wanatumia syllabus ya Kenya, mitihani na vitabu vya wanafunzi pia. Usidhani bendera yao ipo hivi kibahati bahati View attachment 1689682

Hapa kwangu tunao wengi kama majirani, japo kwa aina ya magari wanayoendesha mimi huona itakua familia za vigogo kule kwao. Hilo la wao kuishi bila kuwa ugomvi ugomvi humu Kenya nahisi itakua wana mtandao wao wa ndani kwa ndani kwamba mmoja akitenda uhalifu kuna namna wanamshughulkia wenyewe.

Kama Wahindi walivyo, vigumu sana ukute Mhindi anahusika kwenye uhalifu, wana kamtandao kao ka kuwajibishana na kuadhibiana kiaina fulani.

Majirani zetu wa kusini nao wana kamtandao kao ka kujaza omba omba huku.
 
Hapa kwangu tunao wengi kama majirani, japo kwa aina ya magari wanayoendesha mimi huona itakua familia za vigogo kule kwao. Hilo la wao kuishi bila kuwa ugomvi ugomvi humu Kenya nahisi itakua wana mtandao wao wa ndani kwa ndani kwamba mmoja akitenda uhalifu kuna namna wanamshughulkia wenyewe.
Kama Wahindi walivyo, vigumu sana ukute Mhindi anahusika kwenye uhalifu, wana kamtandao kao ka kuwajibishana na kuadhibiana kiaina fulani.
Majirani zetu wa kusini nao wana kamtandao kao ka kujaza omba omba huku.
Kama kuna watu(wahamiaji/wakimbizi n.k.) ambao wanapendwa na UNHCR na mashirika mengine ya kimataifa ni watu wa S.Sudan. Jamaa ambao wamejisajili na UNHCR huwa wanapokea donge nono sana kila mwezi kutoka kwa mashirika hayo.

Tena zaidi ya hayo wakitaka kuhamia nchi za magharibi huwa ni mtelezo kwao. Wenzao wapo wengi sana kule na karibia wote walipitia nchini Kenya na wanawapa support kwa kiasi kikubwa wenzao ambao wapo barani Afrika.
 
Nilitazama hiyo video, tatizo hajui English kama wengine nyote hadi viongozi hamjui English, alipopewa mic aongee akaanza zile ze ze ze zenu.
Lakini kwani anaimba English? Unategemea vipi mwanamuziki wa kichina aongee kindengereko? Kijana wa tandale kapata umaarufu kutokana na lugha yake ya Tandale.

Nauliza kama kuna mwanamuziki wa kenya anakubalika hivyo, naona pia yule Nmakonde anajiita konde gang alipata mapokezi kiwango cha waziri mkuu huko huko kwa majirani zenu.
 
Lakini kwani anaimba English? Unategemea vipi mwanamuziki wa kichina aongee kindengereko? Kijana wa tandale kapata umaarufu kutokana na lugha yake ya tandale

Nauliza kama kuna mwanamuziki wa kenya anakubalika hivyo, naona pia yule mmakonde anajiita konde gang alipata mapokezi kiwango cha waziri mkuu huko huko kwa majirani zenu

Hamna kitu cha hovyoo kutokujua English unapewa mic na kuanza ze ze ze, bora hata angesema hajui English apewe mkalimani....kingereza kinawatesa sana Watanzania, bora mkulu wenu kakikwepa kabisa na kujifungia ndani hatoki.
 
Kwani wana tatizo lipi? Muulize mkenya yeyote kuhusu raia wa S.Sudan ambao wanaishi nchini Kenya. Hutasikia jambo lolote negative kuwahusu. Infact kwa maoni yangu wao ndio 'model immigrants/refugees' nchini Kenya.

Huwa wapo busy na shughuli zao, wanafata sheria na huwa hawana fujo wala bifu na mtu yeyote yule. Tena wamekuwepo Kenya kwa muda mrefu sana na sio tu kwenye kambi ya wakimbizi ya Kakuma, wapo wengi, sanasana kule mtaa wa Ngumo, Lang'ata jijini Nairobi.

Nina rafiki zangu wengi kutoka S.Sudan na nimefika Juba nikielekea mji wa Malakal, asikuhadae mtu na 'stereotypes' kuhusu S.Sudan. Licha ya vita vya muda mrefu jamaa wanajitahidi sana. Kule Juba wakenya wanachapa biashara sio mchezo. Kuna shule, maduka makubwa, hospitali hadi na benki za wakenya kule S.Sudan.

Nilishangaa kuona kwamba mashuleni wanatumia syllabus ya Kenya, mitihani na vitabu vya wanafunzi pia. Usidhani bendera yao ipo hivi kibahati bahati View attachment 1689682
Mkuu, Mimi nimesoma Kenya, chuo kimoja maarufu Karen, karibu na Rongai, baada ya kumaliza chuo nikakaa tena 2 years Kenya, nina marafiki wa S.Sudan wachache, wengi walikuwa wanakaa kibinafsi sana yaani wao kwa wao.

Kwny hangouts na swimming wabongo tulikuwa tunaenda zaidi na Wakenya na Congolese, wasudi wapo kivyao sana.

Nlikuwa natembea na dem wangu wa kikikuyu mpaka mahali panaitwa Muthaiga then asafiri kuja Tz

Madem wa kikenya ukiwaambia watoke na Wasudi ilikuwa kama kuwatusi, hawakuwa tayari asilani, labda kuwachuna tu.

That's what I experienced there

Btw, Swimming ya KSL bado ipo active?
 
What is an A1 road?
Kenyan roads are classified as A, B, C, D, E and SP. Each road has a code. This particular road is A1, Nairobi - Malaba is A8 (Used to be A104), Nairobi - Moyale is A2 etc.
 
Ukanda huu tunazidi kuufungua.... uzuri Sudan Kusini walishaacha kupigana pigana...ni mwendo wa biashara na amani sasa.

=====
Northern Kenya is undergoing a transformation following the upgrade of a key link road between Kenya and South Sudan.

The South Sudan Link road project is being undertaken by the Kenya National Highways Authority (KeNHA) at a cost of Ksh37 billion.

It connects the towns of Kitale - Kapenguria - Lokichar - Lodwar - Kakuma to Lokichogio town, which is 30 kilometres from the border between Kenya and South Sudan.

south%20sudann.JPG


south%20sudann%20road.JPG


south%20sudan%20lodwar.JPG


Naskia kuwa unaweza kutoka Ulaya hadi South Africa kwa barabara! Na kwamba eti changamoto utaikuta njia ya kutoka South Sudan hadi Sudan! Shida ni nini hapo?
 
Kenyan roads are classified as A, B, C, D, E and SP. Each road has a code. This particular road is A1, Nairobi - Malaba is A8 (Used to be A104), Nairobi - Moyale is A2 etc.
Kwa Tanzania ziko classified Kama T1, T8 nk kwa mfano T8 ni barabara kuu ya Tanzam(Dar-Tunduma), T8 ni barabara kuu(Trunk road? ) Ya Magharibi yaani kuanzia Tunduma-mpanda-nyakanazi Hadi Mutukula.
 
Back
Top Bottom