Eneo la kipande Cha barabara lililopo Kigamboni baada ya kuvuka daraja la mwl Nyerere linaonekana kukamilika lakini bado barabara hiyo imefungwa kusubiri uzinduzi wa kisiasa ilihali wanainchi wanaendelea kupata tabu!
Barabara hiyo ndiyo inayounganisha viunga vya kigamboni na maeneo Mhimu ikiwemo Hospital kubwa ya Vijibweni!
Ambulance zenye wagonjwa mahututi zinalazimika kuzunguka umbali mrefu kupitia barabara korofi Wakati kipande Cha lami hiyo kimekamilika!
Ombi langu kwa Serikali; Hiki kipande mkiendelea kukifunga kitawapotezea kura nyingi badala ya kuwaongezea kura! Wanainchi wakirugusiwa kupita haitazuia Uzinduzi kufanyika!
Wahusika fungueni barabara hiyo Ndungulile mtampa Wakati mgumu!
Update
Siku moja baada ya malalamiko hatimaye wamefungua
Mrejesho: Barabara ya lami iliyokuwa imefungwa Kigamboni leo imefunguliwa, tunashukuru Serikali kwa kusikia kilio cha wananchi
Barabara hiyo ndiyo inayounganisha viunga vya kigamboni na maeneo Mhimu ikiwemo Hospital kubwa ya Vijibweni!
Ambulance zenye wagonjwa mahututi zinalazimika kuzunguka umbali mrefu kupitia barabara korofi Wakati kipande Cha lami hiyo kimekamilika!
Ombi langu kwa Serikali; Hiki kipande mkiendelea kukifunga kitawapotezea kura nyingi badala ya kuwaongezea kura! Wanainchi wakirugusiwa kupita haitazuia Uzinduzi kufanyika!
Wahusika fungueni barabara hiyo Ndungulile mtampa Wakati mgumu!
Update
Siku moja baada ya malalamiko hatimaye wamefungua
Mrejesho: Barabara ya lami iliyokuwa imefungwa Kigamboni leo imefunguliwa, tunashukuru Serikali kwa kusikia kilio cha wananchi