Boran Jakutay
Senior Member
- Apr 8, 2023
- 110
- 259
Unapokuwa na safari yako ambayo inahusisha Barabara ya Mandela Mkoa wa Dar es Salaam, kubali kubadili ratiba zako kwani lazima utakwazika tu.
Barabara imekuwa bize kupita maelezo ikipitisha malori, gari binafsi na gari za abiria.
Kero zaidi ambayo pia inachangia uwepo wa foleni ni asubuhi na jioni ingawa mchana pia kuna wakati tatizo hilo linakuwepo.
Tunaomba mamlaka husika iliangalie hili kwa ukaribu zaidi ikiwezekana utanuzi wa barabara ufanyike kama ilivyo Barabara ya Morogoro kuanzia Kimara hadi Kibaha.
Barabara imekuwa bize kupita maelezo ikipitisha malori, gari binafsi na gari za abiria.
Kero zaidi ambayo pia inachangia uwepo wa foleni ni asubuhi na jioni ingawa mchana pia kuna wakati tatizo hilo linakuwepo.
Tunaomba mamlaka husika iliangalie hili kwa ukaribu zaidi ikiwezekana utanuzi wa barabara ufanyike kama ilivyo Barabara ya Morogoro kuanzia Kimara hadi Kibaha.