Boran Jakutay
Senior Member
- Apr 8, 2023
- 110
- 259
Utanuzi wa barabara sio suluhishoUnapokuwa na safari yako ambayo inahusisha Barabara ya Mandela Mkoa wa Dar es Salaam, kubali kubadili ratiba zako kwani lazima utakwazika tu.
Barabara imekuwa bize kupita maelezo ikipitisha malori, gari binafsi na gari za abiria.
Kero zaidi ni asubuhi na jioni ingawa mchana pia kuna wakati tatizo hilo linakuwepo.
Tunaomba mamlaka husika iliangalie hili kwa ukaribu zaidi ikiwezekana utanuzi wa barabara ufanyike kama ilivyo Barabara ya Morogoro kuanzia Kimara hadi Kibaha.
Barabara hovyo Kweli, huwa sipendi kabisa kukaa karibu na Malori yenye container na tanks, Hiyo bandari ya kwala kwani imefikia wapi maana ndio tiba ya hii kitu.Unapokuwa na safari yako ambayo inahusisha Barabara ya Mandela Mkoa wa Dar es Salaam, kubali kubadili ratiba zako kwani lazima utakwazika tu.
Barabara imekuwa bize kupita maelezo ikipitisha malori, gari binafsi na gari za abiria.
Kero zaidi ni asubuhi na jioni ingawa mchana pia kuna wakati tatizo hilo linakuwepo.
Tunaomba mamlaka husika iliangalie hili kwa ukaribu zaidi ikiwezekana utanuzi wa barabara ufanyike kama ilivyo Barabara ya Morogoro kuanzia Kimara hadi Kibaha.
Dada zenu hapo dar waliozoea kugawiwa hela za mileage na madereva wataishi vipi ?Utanuzi wa barabara sio suluhisho
Suluhisho la kudumu limeshapatikana , ujenzi wa bandari kavu kwala vigwaza upo 99.9% kukamilika plan iliyopo ni kuwa mizigo toka bandarini itakua inapelekwa kule vigwaza , then malori ya kubeba mizigo ya mikoani na nchi jirani yatachukulia mizigo vigwaza instead ya kuja dsm
Hapa mjini yatabaki malory machache kwa ajili ya kuzungusha mizigo hapa mjiniDada zenu hapo dar waliozoea kugawiwa hela za mileage na madereva wataishi vipi ?
Hii barabara wameweka taa siku hizi?Unapokuwa na safari yako ambayo inahusisha Barabara ya Mandela Mkoa wa Dar es Salaam, kubali kubadili ratiba zako kwani lazima utakwazika tu.
Barabara imekuwa bize kupita maelezo ikipitisha malori, gari binafsi na gari za abiria.
Kero zaidi ni asubuhi na jioni ingawa mchana pia kuna wakati tatizo hilo linakuwepo.
Tunaomba mamlaka husika iliangalie hili kwa ukaribu zaidi ikiwezekana utanuzi wa barabara ufanyike kama ilivyo Barabara ya Morogoro kuanzia Kimara hadi Kibaha.
Kwann Yale malori wasiyatafutie boda kupitia pugu huko yasisumbue barabara hii. Mana kinacholeta shida ni Ile milori kupita na gari za kawaida. Nipewe barabara yao tuUtanuzi wa barabara sio suluhisho
Suluhisho la kudumu limeshapatikana , ujenzi wa bandari kavu kwala vigwaza upo 99.9% kukamilika plan iliyopo ni kuwa mizigo toka bandarini itakua inapelekwa kule vigwaza , then malori ya kubeba mizigo ya mikoani na nchi jirani yatachukulia mizigo vigwaza instead ya kuja dsm
Inapelekwa kwa kutumia njia gani?Utanuzi wa barabara sio suluhisho
Suluhisho la kudumu limeshapatikana , ujenzi wa bandari kavu kwala vigwaza upo 99.9% kukamilika plan iliyopo ni kuwa mizigo toka bandarini itakua inapelekwa kule vigwaza , then malori ya kubeba mizigo ya mikoani na nchi jirani yatachukulia mizigo vigwaza instead ya kuja dsm
TreniInapelekwa kwa kutumia njia gani?
swali la msingi.Inapelekwa kwa kutumia njia gani?
Hapo hakuna swali la msingi kwa ambaye anafikiria sawa sawaswali la msingi.
Labda reli ila kama ni barabara tunarudi palepale kwenye foleni.
Kuna reli toka bandari hadi Vigwaza?Utanuzi wa barabara sio suluhisho
Suluhisho la kudumu limeshapatikana , ujenzi wa bandari kavu kwala vigwaza upo 99.9% kukamilika plan iliyopo ni kuwa mizigo toka bandarini itakua inapelekwa kule vigwaza , then malori ya kubeba mizigo ya mikoani na nchi jirani yatachukulia mizigo vigwaza instead ya kuja dsm
Foleni,harufu mbaya kuanzia Tabata mpaka Buguruni,ndio barabara inayoongoza bodaboda kuchomekea,daladala zinajaza kero tupuUnapokuwa na safari yako ambayo inahusisha Barabara ya Mandela Mkoa wa Dar es Salaam, kubali kubadili ratiba zako kwani lazima utakwazika tu.
Barabara imekuwa bize kupita maelezo ikipitisha malori, gari binafsi na gari za abiria.
Kero zaidi ni asubuhi na jioni ingawa mchana pia kuna wakati tatizo hilo linakuwepo.
Tunaomba mamlaka husika iliangalie hili kwa ukaribu zaidi ikiwezekana utanuzi wa barabara ufanyike kama ilivyo Barabara ya Morogoro kuanzia Kimara hadi Kibaha.
C ndo hii SGRKuna reli toka bandari hadi Vigwaza?
Good solution, hilo liende sambamba na upanuzi wa barabara Vigwaza - Morogoro even boyondUtanuzi wa barabara sio suluhisho
Suluhisho la kudumu limeshapatikana , ujenzi wa bandari kavu kwala vigwaza upo 99.9% kukamilika plan iliyopo ni kuwa mizigo toka bandarini itakua inapelekwa kule vigwaza , then malori ya kubeba mizigo ya mikoani na nchi jirani yatachukulia mizigo vigwaza instead ya kuja dsm
Taa zipo mkuuHii barabara wameweka taa siku hizi?