Sultan MackJoe Khalifa JF-Expert Member Joined Nov 24, 2022 Posts 6,782 Reaction score 14,148 Apr 9, 2023 #21 Vesper-valens said: Hapo hakuna swali la msingi kwa ambaye anafikiria sawa sawa Yan wajenge bandari kavu lengo likiwa ni kupunguza msongamano wa mizigo na magari. Afu watumie tena magari hayo hayo kubeba mizigo? Mbona iko wazi kabisa ..treni ndo itakayotumika? Click to expand... ngoja tuone blaza,muda ukifika tutajua mbivu na mbichi makologosho ya hii nchi huwa yanajulikana.
Vesper-valens said: Hapo hakuna swali la msingi kwa ambaye anafikiria sawa sawa Yan wajenge bandari kavu lengo likiwa ni kupunguza msongamano wa mizigo na magari. Afu watumie tena magari hayo hayo kubeba mizigo? Mbona iko wazi kabisa ..treni ndo itakayotumika? Click to expand... ngoja tuone blaza,muda ukifika tutajua mbivu na mbichi makologosho ya hii nchi huwa yanajulikana.