Barabara ya njia nane- Dar - Kibaha yakwama. Serikali yakanusha

Huyu Msigwa ni mwehu kabisa kwa wanao tumia barabara ya kimara-Kibaha wanajua fika serikali imekwama na hakuna watu site kama zamani..hii barbara ilianza kuyumba mwenzi wa nne ..ni kama kuna shida.. barabara imefika asilimia 94 yani asilimia 6 serikali imeshindwa kabisa.... kweli ujenzi wa SGR, bwawa la umeme na mambo mengine wataweza?
Hivi watanzania tumerogwa na nani? Hivi msigwa anapingana vipi na mtendaji mkuu wa Tanroads amabaye yuko jikonoi?
Msigwa anafikiri watanzania hawatumii hiyo barabara? Msigwa wewe ndio unapotosha ukweli ni kwamba barabara imekwama
 
Hao wanaongea tu huku makalio yanatoa pumzi
Hizo.pesa walizokuwa wananyanganywa ni shilingi ngapai ambazo zilikua haziwaishii wanyanganywaji?.
[emoji1787][emoji1787]
 
MSIGWA ATAKUWA AMEWEHUKA YANI ANABISHANA NA MTENDAJI MKUU WA TANROADS... ASILIMIA SITA IMEWASHINDA WANASINGIZIA UPOTOSHAJI HAHAHAHA
 
MSIGWA ATAKUWA AMEWEHUKA YANI ANABISHANA NA MTENDAJI MKUU WA TANROADS... ASILIMIA SITA IMEWASHINDA WANASINGIZIA UPOTOSHAJI HAHAHAHA
[emoji1787][emoji1787]
 
Imefika pazuri tu,sehemu palipobaki ni padogo,sio sehemu ya serikali kushidwa kulipa,saivi mpaka mwendo Kasi zinafika kibaha
 
Kazi iliyobaki naiona si kubwa sana lakini muhimu sana. Busara zielekeze basi serikali kutoa pesa mapema mradi ukamilike. Hivi kile kipande cha barabara toka stendi ya Mabasi hadi barabara ya Morogoro imeshindikana kuweka lami hadi masika yaje? Au vipaumbele vinabadilika,halafu kwa faida ya nani? Ili iweje? Anayefaidika ikibaki vumbi ni nani?

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Hela inaliwa kaka
 
Huwezi kujenga barabara kwa kutegemea kupora pesa za watu kwa kuwabambika uhujumu uchumi Ili wanunue haki zao
Wewe zungu kukutu yaani unataka kutuaminisha kuwa huyu maushungi yako ni bora sana! Stupid!
 
Jinga wewe huna mawazo unafikiri kujenga nchi ni ujinga ujinga kama ndugu yako!
 
Wachezee vitu vyote ila sio miradi ya barabara, umeme wa uhakika na maji.

Ndio njia pekee itakayovutia uwekezaji wa viwanda mijini na vijijini kwa kufungua access ya nchi na kusaidia wakulima kuuza mazao yao na kutoa ajira.

Vinginevyo miaka ijayo machinga watatandika bidhaa zao mpaka nje ya gate la Ikulu, hakuna namna.

Hiyo miradi ya infrastructures faida zake ni long term akitaka kusikiliza hizi hadithi za hawa watu wanaosifia ujinga sijui mama kaleta billion 500 za uwekezaji ndani ya week and so forth with nonsense, mama ataendesha nchi ambayo hali ya umaskini inaongezeka siku hadi siku.

Miradi ya miundombinu hiyo ni adhabu ambayo nchi lazima ipitie.
 
Umeeleza vizuri mkuu
 
kukulupukia miladi mingi mikubwa bila ya kutumia akili ndio tatizo.
jiwe kakwapua hela za alizowaida wezi ,kajitapa kua hela anazo kumbe wanaibia wafanya biashara.
mwisho wasiku kila mkandalasi anataka hela ya kuendelea na kazi , anaambiwa hela hamna mzee presha inampanda.
na ndio hivyo.

nakumbuka MOVIE ya idd amini.
anambiwa na gavana hela hakuna anasema hela zitaishaje tengeneza zingine.gavana kajichanganya kumwambia zitakua kama makaratasi.
hahahahahahahahahahhaahahahah..............


kwa ufupi jiwe hakua na watalam wa uchumi kabisa.
wachumi wake alikua polepole'sabaya yaani.hovyo kabisa.
 
Manina zenu so mlisema viwanda saivi sijui mnaongea Nini ifikie kipindi Marais wawe wanawekwa ndani wakitoka madarakani Sasa ona Kama tulisema serikali ya viwanda wakije wengine serikali ya kilimo akija mwengine serikali ya uvuvi yaan tumerogwa na Nani? Hatuna dira ya kwamba Kama nchi sisi tunataka nini? Mbona kuongoza ni rahisi MaCCm mnakwama wapi?
 
Si hiyo tu hata pale ubungo ilipokuwepo stand ya mabasiujenzi ulikiwa ukienda kwa kasi sana ila naona umekoma, Barabara za mitaani hatuoni ten
Tukitekeleza hii miradi mnadhani mikopo ya chanjo tutailipa vipi? Awamu hii yote tunalipa mikopo ya Chanjo tu, ni chanjo na tozo kwa kwenda mbele, mikopo ya chanjo lazima ilipwe!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…