Environmental impact assessment report ya hii barabara imeshatoka nadhani soon wataanza michakato ya kutangaza tender...Yajayo yanafurahishaKwenu maharusi watarajiwa watia nia na hasa wale wa urais. Kuna maeneo nyeti ya nchi hii kwa hakika yatawabeba sana watia nia. Katika picha hii ni hali ya leo katika barabara hii kuu pande za wilaya ya Biharamulo na Ngara.
Kwa hakika pana mtaji wa kura za kutosha huko. Si kwa wenyeji tu bali hata kwa waitumiao njia hiyo na pia jamaa zao:
View attachment 1530502
View attachment 1530497
View attachment 1530526
View attachment 1530528View attachment 1530531
.View attachment 1530531
View attachment 1530532
Fursa hiyo, kazi kwenu watia nia!
Environmental impact assessment report ya hii barabara imeshatoka nadhani soon wataanza michakato ya kutangaza tender...Yajayo yanafurahisha
Huu ni uzi wa 2017:
Hali ya mbaya mno ya barabara Nyakanazi Rusumo vipaumbele vyetu ni nini?
Zingine hizi ni nyingi tu hiyo assessment ilikuwa ije toka nchi gani?
Madhila ya Barabara Rusahunga -Rusumo
Hata kurekebisha sehemu hizi 3 (nyamalagala, ngazi 7 na nyabugombe) mbaya zaidi zenye takribani 200m each nayo ilikuwa inasubiria assessment?
Au ni vile sasa wajumbe tunataka kuingia kazini?
Ama kweli yajayo yanafurahisha!
Kwenu maharusi watarajiwa watia nia na hasa wale wa urais. Kuna maeneo nyeti ya nchi hii kwa hakika yatawabeba sana watia nia. Katika picha hii ni hali ya leo katika barabara hii kuu pande za wilaya ya Biharamulo na Ngara.
Kwa hakika pana mtaji wa kura za kutosha huko. Si kwa wenyeji tu bali hata kwa waitumiao njia hiyo na pia jamaa zao:
View attachment 1530502
View attachment 1530497
View attachment 1530526
View attachment 1530528View attachment 1530531
.View attachment 1530531
View attachment 1530532
Fursa hiyo, kazi kwenu watia nia!
Kuna kampuni ya kiitaliano ndo ilipewa hio kazi...kazi haijaanza leo wala jana. Bt now ishakamilika wataenda next stage...hio barabara ni 97km huwezi amka tu ukasema unaijenga.Huu ni uzi wa 2017:
Hali ya mbaya mno ya barabara Nyakanazi Rusumo vipaumbele vyetu ni nini?
Zingine hizi ni nyingi tu hiyo assessment ilikuwa ije toka nchi gani?
Madhila ya Barabara Rusahunga -Rusumo
Hata kurekebisha sehemu hizi 3 (nyamalagala, ngazi 7 na nyabugombe) mbaya zaidi zenye takribani 200m each nayo ilikuwa inasubiria assessment?
Au ni vile sasa wajumbe tunataka kuingia kazini?
Ama kweli yajayo yanafurahisha!
Kwa akili zenu hizi CCM mnazidi kutudhihilishia kuwa tumefanya makosa sana kuwaachia muiongoze hii nchi kwa miaka yote hii.Anyway mleta mada target yako ya hiyo barabara haina wapiga kura wengi pia watumiaji wakuu Ni madereva wa malori ambao Sio wapiga kura wa eneo Hilo na kura zao chache tu is not a big issue as far as votes are concerned
Kuna kampuni ya kiitaliano ndo ilipewa hio kazi...kazi haijaanza leo wala jana. Bt now ishakamilika wataenda next stage...hio barabara ni 97km huwezi amka tu ukasema unaijenga.
Rusahunga rusumo si inalami toka zamani kutokea kahama nyantakara? hiyo siilikuwa barabara ya bmlo rusahunga kweli?.
Anyway mleta mada target yako ya hiyo barabara haina wapiga kura wengi pia watumiaji wakuu Ni madereva wa malori ambao Sio wapiga kura wa eneo Hilo na kura zao chache tu is not a big issue as far as votes are concerned
Soon hii road itakua historia...subira yavuta heriView attachment 1530605
Kwahiyo sehemu zisizo na wapiga kura wengi maendeleo hampeleki lakini kodi mnachukua.Anyway mleta mada target yako ya hiyo barabara haina wapiga kura wengi pia watumiaji wakuu Ni madereva wa malori ambao Sio wapiga kura wa eneo Hilo na kura zao chache tu is not a big issue as far as votes are concerned
Kwahiyo sehemu zisizo na wapiga kura wengi maendeleo hampeleki lakini kodi mnachukua.
Kupanga ni kuchagua mkuu...hakuna mtu anaweza kufanya kila kitu kila mahali kwa wakati mmoja,hatuna resources hizo...lazima zipo zitakazo anza na zitakazo chelewa...kila kitu kina muda wake...ww unadhani ktk ya hilo barabara na daraja la wami kipi kingeanza?au io na kigoma nyakanazi kipi kingeanza..now that ipo kwenye mchakato tuwe positive tuache kulalamika.Kuwa historia ni jambo la kheri lakini uwajibikaji wa TANROADS kwenye sehemu mbaya zaidi 3 zilizopo huko kwa miaka zaidi ya 5 sasa uko wapi?
Au inasubiri hiyo history?
Watu wanakufa, uharibifu ndiyo hivyo. Kama hawawezi kufanya marekebisho hata minimal si waifunge tu ijulikane haipo?
View attachment 1530610
View attachment 1530612
Kuwa fair hii barabara haifai kwa matumizi ya binadamu.
Ni aibu kubwa kwa awamu ya tano kujitanabaisha kwa ubora wa miundo mbinu hasa kwa yeyote mwenye taarifa ya hali ilivyo katika barabara hii na kwa zaidi ya miaka 5 sasa.
Huo ndiyo ulio ukweli mchungu. Mtoa nia yeyote atakaye wahi huko, atapokelewa kwa nderemo.
Kimya kingi kina mshindo mkuu!
Acha kujitoa ufahamu,kwani daraja la busisi ilikuaje?Kuna kampuni ya kiitaliano ndo ilipewa hio kazi...kazi haijaanza leo wala jana. Bt now ishakamilika wataenda next stage...hio barabara ni 97km huwezi amka tu ukasema unaijenga.