Barabara ya Rusahunga Rusumo mtaji kwa wagombea

Barabara ya Rusahunga Rusumo mtaji kwa wagombea

Kupanga ni kuchagua mkuu...hakuna mtu anaweza kufanya kila kitu kila mahali kwa wakati mmoja,hatuna resources hizo...lazima zipo zitakazo anza na zitakazo chelewa...kila kitu kina muda wake...ww unadhani ktk ya hilo barabara na daraja la wami kipi kingeanza?au io na kigoma nyakanazi kipi kingeanza..now that ipo kwenye mchakato tuwe positive tuache kulalamika.

Hivi mkuu umesoma uzi lakini au povu tu? 90km ni mbaya zote kabisa, lakini sehemu 3 zenye takribani 200m kila moja ndizo zinazoleta maafa zaidi na kuifanya kutopitika hata sasa hivi kipindi cha kiangazi.

Serikali ipo tanroads wapo hakuna hata kuwajibika.

Maswali uliyouliza ingependeza kama ungeniuliza baina ya zile za Chatto na ile international airport pendwa kule kipi kingeanza au baina ya yale madege, barabara za Chatto, flyover, daraja la salenda, nk ningekujibu vyema zaidi.

Kweli kupanga ni kuchagua nimeona mwingine kasema barabara hiyo haina umuhimu kwani wapiga kura huko ni wachache hali kodi lukuki serikali inachukua.
 
Pakiachwa kama palivyo lawama,pangijengwa pia kuna lawama kutoka kwa Chadema,wanahoji kwa nini JPM anafanya maendeleo ya vitu na sio watu.yani awataki miundimbinu kama barabara zijengwe.

Ulichoandika ni kuwacheza shere waathirika wa barabara hiyo wanaojua yanayofanywa Chatto:

Chato kupo hivi. Je, hii ngozi haivutwi mno?

Msidhani hatuoni. Mtanzania wa leo si wa jana.
 
Hivi mkuu umesoma uzi lakini au povu tu? 90km ni mbaya zote kabisa, lakini sehemu 3 zenye takribani 200m ndizo zinazoleta maafa zaidi na kuifanya kutopitika hata sasa hivi kipindi cha kiangazi.

Serikali ipo tanroads wapo hakuna hata kuwajibika.

Maswali uliyouliza ingependeza kama ungeniuliza baina ya zile za Chatto na ile international airport pendwa kule kipi kingeanza baina yale madege, barabara za Chatto, flyover, daraja la salenda, nk ningekujibu vyema zaidi.

Kweli kupanga ni kuchagua nimeona mwingine kasema barabara hiyo haina umuhimu kwani wapiga kura huko ni wachache hali kodi lukuki serikali inachukua.
Mimi sitoki povu...tunaeleweshana tu km ni 200m tu ndo zinashida na hazijafanyiwa marekebisho then hapo siwezi wajibia probably wanasubiri watumbuliwe km kule lindi.
 
Pakiachwa kama palivyo lawama,pangijengwa pia kuna lawama kutoka kwa Chadema,wanahoji kwa nini JPM anafanya maendeleo ya vitu na sio watu.yani awataki miundimbinu kama barabara zijengwe.

Ulichoandika ni kuwacheza shere waathirika wa barabara hiyo wanaojua yanayofanywa Chatto:

Chato kupo hivi. Je, hii ngozi haivutwi mno?

Msidhani hatuoni. CHADEMA inahusika nini kwenye uzi huu? Mtanzania wa leo si wa jana.

Ila kama mnataka ihusike nitaandaa uzi mwingine kwa ajili ya hilo.
 
Mimi sitoki povu...tunaeleweshana tu km ni 200m tu ndo zinashida na hazijafanyiwa marekebisho then hapo siwezi wajibia probably wanasubiri watumbuliwe km kule lindi.

Kama nilivyoandika si Mara moja barabara yote ni mbaya Ila sehemu 3 hizo kimsingi hakuna njia na ajali zote hizo zinatokea humo.

Sehemu hizi ni:

Nyamalagala, Ngazi Saba na Nyabugombe takribani 200m each.

Watu wanakufa na uharibifu kama unavyoona:

IMG_20200808_093123_136.jpg


IMG_20200808_094250_673.jpg


Sababu ikiwa ni ubovu tu wa sehemu hizi.

Mbaya zaidi Chatto kupo hivi:

Chato kupo hivi. Je, hii ngozi haivutwi mno?

Makelele haya sasa zaidi ya miaka 5 maeneo hayo hayo. Chini ni uzi wa 2017 wenye habari hiyo hiyo.

Hali ya mbaya mno ya barabara Nyakanazi Rusumo vipaumbele vyetu ni nini?

Too much au vipi?
 
Anyway mleta mada target yako ya hiyo barabara haina wapiga kura wengi pia watumiaji wakuu Ni madereva wa malori ambao Sio wapiga kura wa eneo Hilo na kura zao chache tu is not a big issue as far as votes are concerned
Suala siyo kura, suala ni umuhimu wa barabara yenyewe. Acheni siasa kwenye mambo ya kitaifa kama haya
 
Suala siyo kura, suala ni umuhimu wa barabara yenyewe. Acheni siasa kwenye mambo ya kitaifa kama haya

Ndiyo umefika Tanzania sasa tokea anga za juu?

Ilibidi hatimaye ligeuke siasa sasa baada ya jitihada za miaka miaka na miaka kuelezea umuhimu wa kiuchumi kuangukia kwa viziwi wa masikio walioko serikalini:

Ziara ya Kagera, Magufuli usiende pekee tu Wasaidizi wako wanakokupangia kwenda

Hali ya mbaya mno ya barabara Nyakanazi Rusumo vipaumbele vyetu ni nini?

Madhila ya Barabara Rusahunga -Rusumo

Option ipi imebakia kwa maslahi ya taifa? Siasa au vipi?

Kuwatoa sasa wasiosikia kama mawe!
 
Ndiyo umefika Tanzania sasa tokea anga za juu?
Ndiyo nimefika ? Dogo nimepita hapo enzi hizo na hata tena na tena. Hizo anga za Rusumo, Benaco, Ngara, Biharamulo, Nyakanazi mpaka kule Mwoyowosi nimechafua sana. Labda mimi ndiyo nikufundishe wewe mitaa ya Tanzania kutokea Mtukula, pita huko Kakonko mpaka Mbamba Bay. Nazijua hizo sehemu dogo na nazijua kiundani sana.
Anyway, lengo langu ni kukupa taarifa tu kwamba umuhimu wa hiyo barabara ni mkubwa sana kuliko maccm wanavyodhani. Na kama tungekuwa serious hii barabara pengine ingekuwa ya pili au ya tatu kwa uzuri Tanzania.

Period
 
Ndiyo nimefika ? Dogo nimepita hapo enzi hizo na hata tena na tena. Hizo anga za Rusumo, Benaco, Ngara, Biharamulo, Nyakanazi mpaka kuloe Mwoyowosi nimechafua sana. Labda mimi ndiyo nikufundishe wewe mitaa ya Tanzania kutokea Mtukula, pita huko Kakonko mpaka Mbamba Bay. Nazijua hizo sehemu dogo na nazijua kiundani sana.
Anyway, lengo langu ni kukupa taarifa tu kwamba umuhimu wa hiyo barabara ni mkubwa sana kuliko maccm wanavyodhani. Na kama tungekuwa serious hii barabara pengine ingekuwa ya pili au ya tatu kwa uzuri Tanzania.

Period

Nimeandika nyuzi nyingi sana kuhusu barabara hii kutokana na umuhimu wake.

Kwamba unautambua umuhimu wake tuko pamoja.

Kwamba uko na taabu na ma CCM kuhusiana na barabara hii tuko pamoja.

Nilidhani u mmoja wa na CCM yasiyoona umuhimu wa barabara hii.

Tafadhali rejea title ya mada bandiko lako na bandiko langu.

Sorry for any oversight. Bottom line kwa barabara hii na mengine mengi mtu analiwa kichwa come Oct 28.
 
Nimeandika nyuzi nyingi sana kuhusu barabara hii kutokana na umuhimu wake.

Kwamba unautambua umuhimu wake tuko pamoja.

Kwamba uko na taabu na ma CCM kuhusiana na barabara hii tuko pamoja.

Nilidhani u mmoja wa na CCM yasiyoona umuhimu wa barabara hii.

Tafadhali rejea title ya mada bandiko lako na bandiko langu.

Sorry for any oversight. Bottom line kwa barabara hii na mengine mengi mtu analiwa kichwa come Oct 28.
PAMOJA SANA MKUU
 
Palitolewa 12Bn/- kuikarabati hii barabara juzi juzi. Kwamba kazi ifanyike mchana usiku.

Hakuna la maana lililofanyika. Mambo mawili hii pesa haikutolewa au kama kawaida imepigwa au ndiyo ile wanayolipwa kina 'suchu' majukwaani.

Ukarabati kichekesho Rusahunga - Rusumo

Jiwe aliikacha barabara hii kama alivyofanya majaliwa juzi.
Mimi nimekupa updates...hayo mapovu mengine ya kisiasa ni yako.
 
Mimi nimekupa updates...hayo mapovu mengine ya kisiasa ni yako.

Pia miye nimekupa updates kama kulivyo kulingana na hatua zilivyoripotiwa kuchukuliwa.

Mapovu mengine kulingana na maoni yako ni yako, miye hayanihusu.
 
Back
Top Bottom