ZINDAGI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 1,118
- 1,430
Kuna hali ya kutozijali barabara za Wilaya ya Temeke kwa kiasi kikubwa, wahusika ni kama hawajihusishi kabisa.
1. Barabara ya Temeke ina mashimo makubwa ambayo yanachangia kuharibu magari, kusababisha foleni, na kufika sehemu muhimu kwa wakati. Mashimo haya yapo tangu mvua za vuli za mwaka jana mpaka naandika uzi huu hayajawahi kufukiwa, hali ni mbaya sana.
2. Watu waliopewa zabunibya kisafisha mitaro na kufagia barabara, wanaacha uchafu na mchanga juu ya barabara bila kutolewa kwa kipindi chose, hii inasababisha kupungua kwa upana wa barabara na wakati mwingine uchafu na mchanga kurudi ktk mitaro na kuziba tena.
3. Load limit haifuatwi, barabara za mtaani zinapitwa na malori yenye uzito zaidi ya kiwango kilichoweka, hali ambayo inasabibisha barabara kutodumu kabisa.
Tuwaombe wahusika watimize wajibu wao.
1. Barabara ya Temeke ina mashimo makubwa ambayo yanachangia kuharibu magari, kusababisha foleni, na kufika sehemu muhimu kwa wakati. Mashimo haya yapo tangu mvua za vuli za mwaka jana mpaka naandika uzi huu hayajawahi kufukiwa, hali ni mbaya sana.
2. Watu waliopewa zabunibya kisafisha mitaro na kufagia barabara, wanaacha uchafu na mchanga juu ya barabara bila kutolewa kwa kipindi chose, hii inasababisha kupungua kwa upana wa barabara na wakati mwingine uchafu na mchanga kurudi ktk mitaro na kuziba tena.
3. Load limit haifuatwi, barabara za mtaani zinapitwa na malori yenye uzito zaidi ya kiwango kilichoweka, hali ambayo inasabibisha barabara kutodumu kabisa.
Tuwaombe wahusika watimize wajibu wao.