Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mohamed SaidBagamoyo ni historia nzuri namna uislam ulivyoshiriki kuuza watumwa wa kiafrika.Uislam na utumwa ni sawa na uji na mgonjwa.
Chukua mistari ya bible kuhusu utumwa uelimike,ukimaliza ntakupa ya Quran kupinga utumwaBagamoyo ni historia nzuri namna uislam ulivyoshiriki kuuza watumwa wa kiafrika.Uislam na utumwa ni sawa na uji na mgonjwa.
Kwamba ukristu unapinga utumwa?Ukristo usingeingia tanzagiza, hata wewe siajabu ungezaliwa utumwani na labda ungekuwa bado mtumwa pia kwani nikikuangalia wewe siyo mwarabu …
Kwamba ukristu unapinga utumwa?
Lev 25:44-46, Exodus 21:7-8,deut 21:10-14,exoduy21:20-21,1peter 2:18,1timothy 6:1, Titus 2:9
Watumwa wa marekani walipelekwa na nani?.. kwamba zanzibar watu wote wote weusi ni vizazi vya watumwa,ndiyo elimu ya kanisani hiyo?.. utumwa ulipigwa marufuku na wakiristo,au waliamua kuachana nao baada ya ugunduzi wa mashine?..hiyo elimu unayodhani ya kikristu ilikuja na kanisa au wakoloni?Ukristo ulikomesha biashara ya Utumwa hapa kwetu iliyokuwepo kwa karne nyingi chini ya Uislamu, bila ya Ukristo mimi na wewe ( kama wewe ni mtu mweusi) siajabu tungezaliwa utumwani leo hii, wanzanzibari weusi (karibia) wote ni mzao wa utumwa, siyo hivyo tu, Ukristo ulileta Shule na Elimu ambayo tunajivunia mpaka leo hii na ni kwa wote waislamu, Wakristo na hata wasio na Dini wananufaika na Elimu ya Kikristo …
Watumwa wa marekani walipelekwa na nani?.. kwamba zanzibar watu wote wote weusi ni vizazi vya watumwa,ndiyo elimu ya kanisani hiyo?.. utumwa ulipigwa marufuku na wakiristo,au waliamua kuachana nao baada ya ugunduzi wa mashine?..hiyo elimu unayodhani ya kikristu ilikuja na kanisa au wakoloni?
Elimu yako duni,watumwa toka africa mashariki walikua laki nane mpaka milioni, wakati laki mbili walipelekwa amerika na ulayahakuna Watumwa ktk kwetu waliopelekwa Bara la Amerika, Watumwa ktk kwetu waliuzwa zanzibar, somalia, india mpaka irani na uarabuni ambako mpaka leo wengi wao wana maisha duni kama ya wakati wa utumwa btw watumwa waliouzwa Christian countries leo hii wana higher living standard kuliko black man yoyote yule dunia hii pamoja na watwana wao, leo hii USA kuna senetors, billionaires, Governors, movie directors ambao ni slave descendats wakati watumwa waliouzwa kwa waislamu huko india au irani bado ni watumwa au wana hali ya kiutumwa mpaka leo hii, hata Zanzibar kama Kanisa lisingeingia leo hii bado mtu mweusi angekuwa mtumwa au angeishi kitumwa …
Asia. While the slave trade in the Indian Ocean started 4,000 years ago, it expanded significantly in late antiquity (1st century CE) with the rise of Byzantine and Sassanid trading enterprises. Muslim slave trading started in the 7th century, with the volume of trade fluctuating with the rise and fall of local powers. Beginning in the 16th century, slaves were traded to the Americas, including Caribbean colonies, as Western European powers became involved in the slave trade. Trade declined with the abolition of slavery in the 19th century.[1][2]hakuna Watumwa ktk kwetu waliopelekwa Bara la Amerika, Watumwa ktk kwetu waliuzwa zanzibar, somalia, india mpaka irani na uarabuni ambako mpaka leo wengi wao wana maisha duni kama ya wakati wa utumwa btw watumwa waliouzwa Christian countries leo hii wana higher living standard kuliko black man yoyote yule dunia hii pamoja na watwana wao, leo hii USA kuna senetors, billionaires, Governors, movie directors ambao ni slave descendats wakati watumwa waliouzwa kwa waislamu huko india au irani bado ni watumwa au wana hali ya kiutumwa mpaka leo hii, hata Zanzibar kama Kanisa lisingeingia leo hii bado mtu mweusi angekuwa mtumwa au angeishi kitumwa …
Asia. While the slave trade in the Indian Ocean started 4,000 years ago, it expanded significantly in late antiquity (1st century CE) with the rise of Byzantine and Sassanid trading enterprises. Muslim slave trading started in the 7th century, with the volume of trade fluctuating with the rise and fall of local powers. Beginning in the 16th century, slaves were traded to the Americas, including Caribbean colonies, as Western European powers became involved in the slave trade. Trade declined with the abolition of slavery in the 19th century.[1][2]hakuna Watumwa ktk kwetu waliopelekwa Bara la Amerika, Watumwa ktk kwetu waliuzwa zanzibar, somalia, india mpaka irani na uarabuni ambako mpaka leo wengi wao wana maisha duni kama ya wakati wa utumwa btw watumwa waliouzwa Christian countries leo hii wana higher living standard kuliko black man yoyote yule dunia hii pamoja na watwana wao, leo hii USA kuna senetors, billionaires, Governors, movie directors ambao ni slave descendats wakati watumwa waliouzwa kwa waislamu huko india au irani bado ni watumwa au wana hali ya kiutumwa mpaka leo hii, hata Zanzibar kama Kanisa lisingeingia leo hii bado mtu mweusi angekuwa mtumwa au angeishi kitumwa …
Elimu yako duni,watumwa toka africa mashariki walikua laki nane mpaka milioni, wakati laki mbili walipelekwa amerika na ulaya
Google Image Result for https://aaregistry.org/wp-content/uploads/2020/06/middle-passage-300x191.jpg
Ndiyo kisa marekani kuitwa unyamwezini,ikiaminika watumwa walikua wanyamwezi
Asia. While the slave trade in the Indian Ocean started 4,000 years ago, it expanded significantly in late antiquity (1st century CE) with the rise of Byzantine and Sassanid trading enterprises. Muslim slave trading started in the 7th century, with the volume of trade fluctuating with the rise and fall of local powers. Beginning in the 16th century, slaves were traded to the Americas, including Caribbean colonies, as Western European powers became involved in the slave trade. Trade declined with the abolition of slavery in the 19th century.[1][2]
His
Nimekuongezea elimu,siyo unalishwa tu ujinga kwenye vikao vya mvinyo,halafu hao watumwa waliokua na maisha mazuri huko ulaya na marekani unawazungumzia wale ambao akina malcolm x na martin luther king waliwapigania!?..unayajua maisha ya vizazi vya watumwa USA baada ya utumwa kuisha!?.. achilia mbali Latin america
Unajua kiingereza lakini!?..nimekuwekea ramani ya route ya watumwa east na west africa,nikakubandikia na kipande cha history kikionesha watumwa waligoma East Africa pia,bado unang'ang'ana na elimu yako uliyokaririshwa Sunday school,watumwa toka kwetu walipata milioni,laki mbili wakienda america waliobaki asianaongelewa watumwa wa ktk bara letu na siyo utumwa in general, watumwa wa Afrika kwenda bara la Amerika hawakutoka kwetu bali walichukiliwa kutoka west afrika, sababu ya logistics west afrika ina atlantic ocean, watumwa ktk kwetu walipelekwa kupitia indian ocean kwenda somalia, india na hata irani na uarabuni …
Bado huamini kama watanganyika walienda america utumwani!?naongelewa watumwa wa ktk bara letu na siyo utumwa in general, watumwa wa Afrika kwenda bara la Amerika hawakutoka kwetu bali walichukiliwa kutoka west afrika, sababu ya logistics west afrika ina atlantic ocean, watumwa ktk kwetu walipelekwa kupitia indian ocean kwenda somalia, india na hata irani na uarabuni …
Aliyewauza babu na bibi zako ni hao waliokuwa viongozi wa makabila. Mwarabu hakukamata watu kwa nguvu.hakuna Watumwa ktk kwetu waliopelekwa Bara la Amerika, Watumwa ktk kwetu waliuzwa zanzibar, somalia, india mpaka irani na uarabuni ambako mpaka leo wengi wao wana maisha duni kama ya wakati wa utumwa btw watumwa waliouzwa Christian countries leo hii wana higher living standard kuliko black man yoyote yule dunia hii pamoja na watwana wao, leo hii USA kuna senetors, billionaires, Governors, movie directors ambao ni slave descendats wakati watumwa waliouzwa kwa waislamu huko india au irani bado ni watumwa au wana hali ya kiutumwa mpaka leo hii, hata Zanzibar kama Kanisa lisingeingia leo hii bado mtu mweusi angekuwa mtumwa au angeishi kitumwa …
Unajua kiingereza lakini!?..nimekuwekea ramani ya route ya watumwa east na west africa,nikakubandikia na kipande cha history kikionesha watumwa waligoma East Africa pia,bado unang'ang'ana na elimu yako uliyokaririshwa Sunday school,watumwa toka kwetu walipata milioni,laki mbili wakienda america waliobaki asia
Bado huamini kama watanganyika walienda america utumwani!?
Aliyewauza babu na bibi zako ni hao waliokuwa viongozi wa makabila. Mwarabu hakukamata watu kwa nguvu.
Tafakari.