Barabara ya Watumwa Ujiji-Kigoma hadi Bagamoyo

Barabara ya Watumwa Ujiji-Kigoma hadi Bagamoyo

hakuna kitu kama hicho hiyo ni logistic night mare, isitoshe ni nani aliwachukuwa ktk east afrika kuwapeleka americas kwani wakati huo ukoloni wa wazungu ulikuwa bado haujafika east afrika ukiachilia msumbiji labda kwa na Ureno lkn siyo kwetu, …
Mreno alifika kilwa karne ya 15,jielimishe
 
hakuna watumwa waliotoka east afrika kwenda Bara la Amerika ni kipi hauikiekewi? au unafikiri ni kwa nini inaitwa “ the atlantic slave trade?” East Afrika haina connection na Atlantic ocean, east afrika kuna indian ocean, ili meli ifike amerika kutokea East Afrika ni lazima izunguke bara lote sasa why would they do that wakati west afrika ina connect moja kwa moja na atlantic ocean?
Isitoshe meli ya mwisho ya utumwa ktk afrika kwenda Americas ilikuwa miaka 1860 wakati huo Wazungu walikuwa bado hawajafika kwetu, mkutano wa Berlin ulikuwa 1884/85 tulifundishwa shuleni sasa hao watumwa ktk kwetu kwenda amerika aliwachukuwa nani ?
Wewe elimu huna ndiyo shida, living stone alifika lini kigoma,tabora?.. mkoloni alikua kishafika?..mreno kapiga kilwa 1400s huko
 

Attachments

  • Screenshot_2024-09-22-15-02-52-573.jpg
    Screenshot_2024-09-22-15-02-52-573.jpg
    383.1 KB · Views: 5
Mreno alifika kilwa karne ya 15,jielimishe

kwa hiyo alichukuwa watumwa kupeleka americas kutoka kwetu? besides kilwa inahusiana vipi na utumwa? biashara ya utumwa ilifwata caravan kutokea Kongo/Kigoma kupitiw tabora mpaka pwani na zanzibar …
 
Wewe elimu huna ndiyo shida, living stone alifika lini kigoma,tabora?.. mkoloni alikua kishafika?..mreno kapiga kilwa 1400s huko

wakati livingstone anafika tanganyika, tabora biashara ya utumwa i.e atlantic slave trade ilishafikia tamati. mreno alichukuwa watumwa kutoka Angola ambapo kuna direct access na atlantic ocean akapeleka americas hasa Brazil …
 
kwa hiyo alichukuwa watumwa kupeleka americas kutoka kwetu? besides kilwa inahusiana vipi na utumwa? biashara ya utumwa ilifwata caravan kutokea Kongo/Kigoma kupitiw tabora mpaka pwani na zanzibar …
Ulidai wazungu hawakufika kwetu mpaka baada ya german conference 1884/5,na wareno walifika kilwa na merikebu kubwa ya kivita wakitokea atlantic ambako ulidai logi
wakati livingstone anafika tanganyika, tabora biashara ya utumwa i.e atlantic slave trade ilishafikia tamati. mreno alichukuwa watumwa kutoka Angola ambapo kuna direct access na atlantic ocean akapeleka americas hasa Brazil …
Wewe si ulisema mzungu hakufika kwetu mpaka baada ya berlin conference!?
 
wakati livingstone anafika tanganyika, tabora biashara ya utumwa i.e atlantic slave trade ilishafikia tamati. mreno alichukuwa watumwa kutoka Angola ambapo kuna direct access na atlantic ocean akapeleka americas hasa Brazil …
Hiki nilichoambatanisha hapa ni kitu gani?
 

Attachments

  • Screenshot_2024-09-22-14-18-23-122.jpg
    Screenshot_2024-09-22-14-18-23-122.jpg
    362.3 KB · Views: 5
kwa hiyo alichukuwa watumwa kupeleka americas kutoka kwetu? besides kilwa inahusiana vipi na utumwa? biashara ya utumwa ilifwata caravan kutokea Kongo/Kigoma kupitiw tabora mpaka pwani na zanzibar …
started 4,000 years ago, it expanded significantly in late antiquity (1st century CE) with the rise of Byzantine and Sassanid trading enterprises. Muslim slave trading started in the 7th century, with the volume of trade fluctuating with the rise and fall of local powers. Beginning in the 16th century, slaves were traded to the Americas, including Caribbean colonies, as Western European powers became involved in the slave trade. Trade declined with the abolition of slavery in the 19th century.[1][2]

Histo​

Na hapa kinazungumziwa nini!?
 
Ulidai wazungu hawakufika kwetu mpaka baada ya german conference 1884/5,na wareno walifika kilwa na merikebu kubwa ya kivita wakitokea atlantic ambako ulidai logi

Wewe si ulisema mzungu hakufika kwetu mpaka baada ya berlin conference!?

nimeongelea kuhusu ukoloni, sisi hatukutawaliwa na Ureno …
 
Hiki nilichoambatanisha hapa ni kitu gani?

hata mimi sijui ulipokitoa lkn wakati ukoloni wa Wajerumani (Ukoloni wa kwanza na ulioanzisha nchi yetu kama tuijuavyo leo hii ukuiondoa rwanda na burundi) unaanza Tanganyika, transatlantic ( kuna sababu kwa nini iliitwa transatlantic ni bahari ya atlantic) slave trade ilikwishapigwa marufuku, hivyo watumwa pekee waliotoka kwetu walitokea Kongo/Kgm kupitia tabora mpaka B’moyo na hatimaye zanzibar huko ndiko kulikokuwa na soko la utumwa kutoka kwetu kutoka hapo bmoyo/zanzibar waliuzwa india, somalia, mpaka sheli sheli, komoro na irani na hata uarabuni, indian ocean lkn hakuna meli ya utumwa ya wazungu iliyotia nanga pwani yetu na kuchukuwa watumwa kupeleka americas, hiyo caravan ndipo ilipopita reli ya kati watumwa walipitishwa kote huko na waarabu mpaka bmoyo na hatimaye zanzibar kwa mguu
 
nimeongelea kuhusu ukoloni, sisi hatukutawaliwa na Ureno …
Neno meza na mvinyo mswahili umelitoa wapi ikiwa hukuwa na muingiliano na mreno?..wewe endelea kukariri kuwa hakuna mtanganyika aliyepelekwa utumwani america bali arabuni tu, ndiyo history inayokupa raha
 
Ukristo usingeingia tanzagiza, hata wewe siajabu ungezaliwa utumwani na labda ungekuwa bado mtumwa pia kwani nikikuangalia wewe siyo mwarabu …
wanunuzi wa watumwa walikua kina nani?
 
Back
Top Bottom