KERO Barabara za Bugarika-Mahina-Nyakato jijini Mwanza ni changamoto

KERO Barabara za Bugarika-Mahina-Nyakato jijini Mwanza ni changamoto

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Wahusika wa Barabara za Bugarika kwenda Mahina hadi Nyakato Temeke ni changamoto kubwa kwa wapita njia.

Imefikia wakati vyombo vya moto vinasubiriana upande kwa upande jambo ambalo linapoteza muda na mafuta katika foleni.
 
Back
Top Bottom