A
Anonymous
Guest
Wakazi wa Mbeya Mjini tunapata shida kubwa kipindi hiki cha mvua, barabara za mitaa zimeharibika sana, miundombinu imekua ni changamoto kubwa, barabara hazipitiki.
Maji yanapita barabarani, yaani unakuta barabara imekua kama mto, maji yanapita mengi. Serikali za mitaa hazina msaada, wala madiwani hawana habari yoyote.
Ni aibu kubwa sana kwa TARURA Mbeya Mjini, na viongozi wote wa Mbeya Mjini.
Maji yanapita barabarani, yaani unakuta barabara imekua kama mto, maji yanapita mengi. Serikali za mitaa hazina msaada, wala madiwani hawana habari yoyote.
Ni aibu kubwa sana kwa TARURA Mbeya Mjini, na viongozi wote wa Mbeya Mjini.