Wakazi wa Mbeya Mjini tunapata shida kubwa kipindi hiki cha mvua, barabara za mitaa zimeharibika sana, miundombinu imekua ni changamoto kubwa, barabara hazipitiki.
Maji yanapita barabarani, yaani unakuta barabara imekua kama mto, maji yanapita mengi. Serikali za mitaa hazina msaada, wala madiwani hawana habari yoyote.
Ni aibu kubwa sana kwa TARURA Mbeya Mjini, na viongozi wote wa Mbeya Mjini.
Mbunge wenu Yuko busy na matamasha ya Ngoma za jadi , subirini. Nashangaa kwenye andiko lako hujamtaja. Huyo ndo mbunge anahangaika na vitu vidogo vidogo visivyo na tija kwa wananchi na kuacha mambo ya mhimu
Mbunge wenu Yuko busy na matamasha ya Ngoma za jadi , subirini. Nashangaa kwenye andiko lako hujamtaja. Huyo ndo mbunge anahangaika na vitu vidogo vidogo visivyo na tija kwa wananchi na kuacha mambo ya mhimu
Wakazi wa Mbeya Mjini tunapata shida kubwa kipindi hiki cha mvua, barabara za mitaa zimeharibika sana, miundombinu imekua ni changamoto kubwa, barabara hazipitiki.
Maji yanapita barabarani, yaani unakuta barabara imekua kama mto, maji yanapita mengi. Serikali za mitaa hazina msaada, wala madiwani hawana habari yoyote.
Ni aibu kubwa sana kwa TARURA Mbeya Mjini, na viongozi wote wa Mbeya Mjini.