ommytk
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 520
- 1,143
Kuna hii changamoto ya barabara za Tandika aisee ni mtihani mkubwa Serikali za mitaa usiku wajaribu kuangalia namna ya kufukia mashimo makubwa sana ambapo kuna zingine gari ndogo upiti Mimi Jana nimepasua sampo oil yote imemwagika wananchi hata kuweka kifusi wakati mamlaka zinajipanga kukarabati