Barabara zipewe majina ya Mkandarasi aliyejenga ikiwa pamoja na anuani yake, akiboranga tu tunae!

Barabara zipewe majina ya Mkandarasi aliyejenga ikiwa pamoja na anuani yake, akiboranga tu tunae!

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Wakuu kwema?

Hii imekaaje? Badala ya kuzipa barabara majina ya viongozi au wanasiasa au watu mashuhuri zipewe majina ya mkandarasi aliyejenga pamoja na anuani ya makazi yake, akivurunda tu tunajua pa kumpata.

Nakuhakikishia kiwango kwenye ujezi wa barabara kitaimarika mara moja. Maana akiboronga tu anajua watu watamkaba kooni, na hatokuja kupata tenda nyingine sababu tutaikalia serikali kooni kama vile DP World 😂 😂 😂.

Hii si imeenda Wakuu?
 
Wakuu kwema?

Hii imekaaje? Badala ya kuzipa barabara majina ya viongozi au wanasiasa au watu mashuhuri zipewe majina ya mkandarasi aliyejenga pamoja na anuani ya makazi yake, akivurunda tu tunajua pa kumpata.

Nakuhakikishia kiwango kwenye ujezi wa barabara kitaimarika mara moja. Maana akiboronga tu anajua watu watamkaba kooni, na hatokuja kupata tenda nyingine sababu tutaikalia serikali kooni kama vile DP World 😂 😂 😂.

Hii si imeenda Wakuu?
""Hii imeendaaa""
 
Wakuu kwema?

Hii imekaaje? Badala ya kuzipa barabara majina ya viongozi au wanasiasa au watu mashuhuri zipewe majina ya mkandarasi aliyejenga pamoja na anuani ya makazi yake, akivurunda tu tunajua pa kumpata.

Nakuhakikishia kiwango kwenye ujezi wa barabara kitaimarika mara moja. Maana akiboronga tu anajua watu watamkaba kooni, na hatokuja kupata tenda nyingine sababu tutaikalia serikali kooni kama vile DP World [emoji23] [emoji23] [emoji23].

Hii si imeenda Wakuu?
Umiliki wa shamba lako na apewe "shamba boy" wako pale uwezaji wako ukibuma, na yeye abakie ndiye kuwa alama ya pekee katika kuanguka kwa mradi wako. Hii imekaaje mazee!?
 
Back
Top Bottom