Barack Obama kawaangusha watu weusi wa Marekani na Waafrika

Yani Obama apoteze muda kutuma salamu za rambirambi za dikteta uchwara Magu? Nadhani haupo vizuri kichwani..
 
we are one.. io ndo kitu ambacho nakumbuka barack alikisema, kuhusu sheria kandamizi sio rahisi kukiondoa hasa kwa mataifa au watu ambao bado tunatawaliwa (Afrika) sababu vingi tunategemea kutoka kwao hata kwenye swala la maamuzi ndio mana mtu mweusi hana nafasi kubwa
 
Napenda hoja kama hizi sio porojo..natake note Obama Care lete kingine
 
Waafrica tunajipendekeza sana kwa wamarekani weusi,sisi tunaona kama n ndugu zetu ila czan kama wao wanatuchukulia hvyo
Obama keshakuwa mmarekan usimkumbushe mambo ya kiafrika, kama tu kwenye msiba wa bibi yake hajafika anaanza vp kumkumbuka mtu ambaye hawana mahusiano
Pia usiisahau OBAMACARE
 
Hahahaha
Dah inashangaza yaan una lilia POLE ? Hii sio sawa mtoa UZI.

Kumbuka mchuma janga hulia na nduguze sasa tambuaa Obama sio ndugu zako ile ni rangi tu ngozi ila moyon mwake ni mtu mweupe
Nadhani uzi umejikita zaidi kwenye matatizo ya mtu mweusi..
 
Mugabe alipowagusa settlers kule Zimbabwe alipigwa vikwazo mpaka leo hii wakati mpaka sasa wengi wa wale masettlers ni wazaliwa wa Zimbabwe... kama hatutaangaliana kama ndugu tutashindwa kwenye hii vita
 
Mnamlaumu Obama bure. Msiba yule Bibi anazikwa kiislamu . Mambo ya haraka haraka na Corona nayo imepamba moto .

Obama amefanya makubwa kwenye hiyo family . Unalalamika bure

Odhis *
 
Kwahiyo Rais wa Marekani hawezi kushughulikia matatizo ya wamarekani weusi huko Marekani kwa sababu taasisi zao zina nguvu zinazuia hilo? watu walitegemea kwamba Obama angewaza kutatua changamoto za wamarekani weusi(sio kuwapendelea) lakini haikuwa hivyo,Obama(mweusi mwenzao) kaingia madarakani na kutoka ila matatizo ya wamarekani weusi yamebaki hivyo hivyo.
 
Wa America weusi wana matatizo huwezi kuyatatua kwa mpigo.

Kwanza genge la wahuni ni pamoja African Americans na Latinos. Pili uchumi, elimu , huduma za jamii kwao ni daraja la chini sana ukilinganisha na wenzao European American's .

Kikubwa Obama aliwasaidia ktk Obama care . Na hii Trump hakuitaka hata kidogo. Mengine ni maswala na bidii ya mtu binafsi

Odhis *
 
Aliwekwa mahsusi kwa ajili ya kuutetea na ku legalize ushoga na transgenders marekani na duniani..Nothing more nothing less. Hana Legacy nyingine..
 
Mnamlaumu Obama bure. Msiba yule Bibi anazikwa kiislamu . Mambo ya haraka haraka na Corona nayo imepamba moto .

Obama amefanya makubwa kwenye hiyo family . Unalalamika bure

Odhis *
hv na mm nmelalamika eee...?🤔🤔🤔
 
... the only thing Obama performed perfectly during his presidency is PROMOTION OF HOMOSEXUALITY.
 
UPUUZI MTUPU!!!
 
Matatizo yapi? Unaongea general sana
 
Ungekuwa unajua system ya utawala wa Marekani kuanzia Rais, Senate na Congress inavyofanya kazi usingeandika huu upumbavu wako eti Obama aliwafanyia nini watu weusi. JIONGEZE kabla ya KUKURUPUKA na kuonyesha ujuha wako hadharani.
 
Ungekuwa unajua system ya utawala wa Marekani kuanzia Rais, Senate na Congress inavyofanya kazi usingeandika huu upumbavu wako eti Obama aliwafanyia nini watu weusi. JIONGEZE kabla ya KUKURUPUKA na kuonyesha ujuha wako hadharani.
Kwa hyo wewe na Barack mnaojua system mnakaa kimya mnavuta popcorns na kuangalia kwenye tv mambo yaende yenyewe.
[emoji23][emoji23]
 
[emoji16][emoji16][emoji16] Sasa jiwe nani yaani huko Duniani mpaka obama atoe pole ... Acha ubwege
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…