SIJAKURUPUKA kila mmoja anapimwa kutokana na nafasi aliyoipata kwenye jamii, waliokuja kumtetea Obama wamezungumzia Obamacare ambayo naona ndicho hicho tu atakachokumbukwa.
Sasa kama Obamacare is his only legacy huoni kama amefanya chini ya matarajio ya wengi.