Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namhofia mungu tu. Mim sio mkazi wa kilimanjaro. Napita tu hukuKama una nyuzi za kuisema serikali humu, basi kwisha habari yako. Siyo kwa kutoa location zote hizo.
Kisonono kinaenezwa vip na konokono mpaka binadamu akipate mkuu?hivyo na kisonono kiliwakarabati sana!
Barafu huongezeka mlimani kunakuwa na yale mawingu ya juu sana ambayo husababisha mvua kwenyeshea juu ya mlima. Mawingu hayo kwa kawaida yanakuwepo kuanzia Disemva hadi Machi mwanzoni. Ikumbukwe kuwa mawingu ya kawaida ya mvua hayawezi kufika juu ya mlima yanaishia katikati. Mwaka huu mvua za vuli zimechelewa na pia kuna kimbunga kimetokea kwenye bahari ya hindi ndio sababu ya hayo mawingu kipindi hiki.KILI YANG'ARAView attachment 3153511
Tour guideNikiwa kazini
View attachment 3153645
Hiki ni kipindi Cha joto inakuwaje mambo ya barafu tena?Athari ya mabadiliko ya tabia nchi ilisababisha kupungua kwa barafu. Hali ya hewa hubadilika kulingana na misimu ya nyakati, huu ni wakati wa barafu nyingi mlimani
Watoto wa mama mchafu na vimbuzi utawajua tu😀Nilidhani uko mashamba ya Technical
😁😁Hongera kwa Mama Sa100 anaupiga mwingi
nimekosea ni kichochoKisonono kinaenezwa vip na konokono mpaka binadamu akipate mkuu?
Uzuri mmoja toka nazaliwa nakuta watu wanatumia maji ya bomba safi na salama bila hata kuyachemsha na hakuna tatizo.nimekosea ni kichocho
hapana na hao bakteria wananaozalishwa na konokono hukaa kwenye maji safi!, labda kinga zako tu ziliweza kupambana na aidha haikuwa bahati mbaya kwako kupata bimelea hivyo ila najua hakukosekani waliovipata!Uzuri mmoja toka nazaliwa nakuta watu wanatumia maji ya bomba safi na salama bila hata kuyachemsha na hakuna tatizo.
Tunamshukuru sana Mama kwa barafu kushamiri mlima Kilimanjaro!!KILI YANG'ARAView attachment 3153511
Oooh sawa sawa nimekusomaMkuu joto chini huku, mlimani hakuna joto kuna baridi sana.
Urefu takribani km6 kwenda juu, si umbali wa kitoto, hauwezi kutana na joto hata siku moja.
Ni theluji....KILI YANG'ARAView attachment 3153511
Dada Asha na KilambasWatoto wa mama mchafu na vimbuzi utawajua tu😀
Kibosho road, kwa mama salma, Ndorobo na karangaDada Asha na Kilambas