Ndo apo sasaHiyo zamani alikuwepo nani?
Hapendagi show off ndo maana hakutabgaza kama alikuwa na lebelalikuwepo nani kwenye hiyo label mkuu?
wewe ulitaka awe nani?alikuwepo nani kwenye hiyo label mkuu?
lebo yake ya mwanzoni miaka ya 2007 alikiba ilikuwa sharobaro entertainment chini ya studio ya g.record then akahama miaka ya 2010 nakuanzisha rockstar ipo mpaka leoPunguza kukurupuka mkuu....Ali Alisema Label anayo toka kitambo ila hakuwahi Kuitangaza.
So usipotoshe Huma kwa kusema kafungua label hivi karibuni.
Lebel asiotangazia ataishia kuwasajili level wenzieKiba alikuwa na Lebel yake kabla ya Diamod sema hapendi show off tu.
lebo yake ya mwanzoni miaka ya 2007 alikiba ilikuwa sharobaro entertainment ch
duuuu rockstar ni ya alikiba au yeye amesainiwa rockstar?lebo yake ya mwanzoni miaka ya 2007 alikiba ilikuwa sharobaro entertainment chini ya studio ya g.record then akahama miaka ya 2010 nakuanzisha rockstar ipo mpaka leo
Kutangaza label ni show off? Kama huitangazi label yako nani ataijua ? Nadhan unachoongea sio kweli...Kiba alikuwa na Lebel yake kabla ya Diamod sema hapendi show off tu.
ha ha ha ha aki kujibu naomba uni tag apaduuuu rockstar ni ya alikiba au yeye amesainiwa rockstar?
UMEKURUPUKA, No info, No right to speak. Alikiba yuko-signed kwenye hiyo label ya Rockstar 4000 kama msanii na si mmiliki.lebo yake ya mwanzoni miaka ya 2007 alikiba ilikuwa sharobaro entertainment chini ya studio ya g.record then akahama miaka ya 2010 nakuanzisha rockstar ipo mpaka leo