Ngushi
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 9,065
- 18,358
Kama ilivyo kawaida kwa sasa ambapo kila msanii wa bongo fleva anataka kumiliki label yake.Hatimaye msanii Baraka da Prince na mpenzi wake Najma wametuletea label mpya kabisa inayojulikana kama BANA
Hata hivyo hawajataka kuchelewa katika usajili na tayari wamemsajili mtu mzima a.k.a mtu mbaya kutoka Arusha Lord eyes (lord iz) na usajili bado unaendelea.
Baadhi ya wasanii walianzisha label hivi karibuni yupo Alikiba, Christian Bella,Barnaba...
Hata hivyo hawajataka kuchelewa katika usajili na tayari wamemsajili mtu mzima a.k.a mtu mbaya kutoka Arusha Lord eyes (lord iz) na usajili bado unaendelea.
Baadhi ya wasanii walianzisha label hivi karibuni yupo Alikiba, Christian Bella,Barnaba...