Baraka da prince amtukana Msami

Baraka da prince amtukana Msami

Pale tu alipokuwa anahojiwa EATV kuhusu nyumba yake halafu yeye macho kodo kwa yule mpenzi wake huku akimshika shika

Nikaamini kweli binti mweupe kwa msukuma ni zaidi ya dhahabu.

Dogo ana kaushamba ka usukumani bado.
Huyo sio msukuma ni mjaruo yaani MRUO
 
Baraka atapoteza mashabiki wengi sana asipokua makini, ana tatizo kubwa sana la kishindwa kujiamini anaona kama anadharauliwa na watu hivyo anaishia kupaniki, Tatizo hajiamini
Kwani keshawahi kuwatukana mashabiki wake?
Mi nadhani wanaotukanwa wanastahili pia !
 
Kwani keshawahi kuwatukana mashabiki wake?
Mi nadhani wanaotukanwa wanastahili pia !
Katika umaarufu kuna mambo ya muhimu kuzingatia, kujibu mambo ambayo ni yalazima, na yasiyo na ulazima unaachana nayo, namna ya kujibu skendo, hali ya uvumilivu maana kisemwa ni lazima, kwa mtu kama Baraka ni rahisi sana kuchafuliwa kwasababu anatabia ya kujibizana ambayo inamshusha hadhi yake.
 
ukiangalia namna wasanii wanavyo chukulia ni poa sana sasa sio kila mtu anapenda kutaniwa watu wanaotokea mikoa ya mara sio wakutaniwa kila jambo uchukulia serious
Ninakupinga kwa % zote .... ni vipi watu flani wachukue mtazamo wa jamii nzima? ....

That's not fair ... real .... mie mwenyewe natokea huko mbona siko hivo unavodhani wewe?
 
Back
Top Bottom