Baraka da prince amtukana Msami

Baraka da prince amtukana Msami

Kila nikipita mitandaon nakutana na

Baraka kamtukana LINEX
Baraka kamtukana BLUE
Baraka kamtukana Stani bakora
Baraka kamtukana msami

Si mkachape Fimbo? Kila siku kanatukana mnakaangalia tuuuuu why?
Sasa aendelee endeee mwisho wa siku atamtukana mkuu wa kaya, hapo ndio ataijua june july
 
Huu ukabila umetokea wapi? Eti mtu akifanya madudu watu wanaanza kuuliza kabila lake. Tabia hazina kabila, acheni kukariri, Hivi Adolf Hitler alikuwa kabila gani? Je, Benito Mussolin? Je, Idd Amin. Kila mtu anazaliwa na hulka yake, tabia anajifunza kutokana na mazingira aliyokulia regardless ya kabila lake.
 
Mie huwa nnamsupport Lakini nimekuja kugundua Kuwa baraka Hana akili hata Kidogo, anapanic, hauwezi ucelebrity,kila kitu anajibu,kila scandal atukana tena mtandaoni, ajiona ni mwanamuziki kweli, asipoangalia atapotea kimziki Mapema Sana,, mtu gani asiyejua utani?? Mpaka nikahisi huenda ana tatizo maana siyo kwa kujibizana kishamba Huku,anaboa inshort
Made in
835da18c6b61daad7c6ac630950f4bbc.jpg
 
Huu ukabila umetokea wapi? Eti mtu akifanya madudu watu wanaanza kuuliza kabila lake. Tabia hazina kabila, acheni kukariri, Hivi Adolf Hitler alikuwa kabila gani? Je, Benito Mussolin? Je, Idd Amin. Kila mtu anazaliwa na hulka yake, tabia anajifunza kutokana na mazingira aliyokulia regardless ya kabila lake.
Waambie asee unaweza kuwa mchaga masikini ,au muhaya aliyekataa shule,au mkurya bwabwa,msukuma mjanja tabia anatengenezwa na mazingira
 
Back
Top Bottom