The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,580
- 7,203
Anatafuta kikiKila nikipita mitandaon nakutana na
Baraka kamtukana LINEX
Baraka kamtukana BLUE
Baraka kamtukana Stani bakora
Baraka kamtukana msami
Si mkachape Fimbo? Kila siku kanatukana mnakaangalia tuuuuu why?
Dogo alitoa dongo hadi SHILAWADU wakakimbia kipindiYule dogo inaelekea ana hasira sana na ndugu yake, Yaani anamchana jamaa pamoja na demu wake mpaka wazee wa SHILAWADU wenyewe wamepata mshtukao, ile shoo inaendelea wiki ijayo sijui itakuaje
Tatizo kimesoma shule za kata ambazo wamezoea kupata zero sasa kikawa kiceleb ghafla ghafla kimekuwa chehu mara hii
Hahaa unipe kitu whitedent nibadili rangi ya ukooHahaha...nawe ka unataka kubadili nione mimi[emoji276]
Haha sasa jeHahaa unipe kitu whitedent nibadili rangi ya ukoo
Naja na bombadia mana wasije niwahi wajanjaHaha sasa je
Msukuma kabila nalo linachangia kuongeza ushamba kichwani....[emoji2] [emoji1] [emoji1]Lishamba hili dogo linalopokaga tu
[emoji38] [emoji38] [emoji38]
Goodluck gosbert ndio lollipopMoyo mashine si imeandikwa na Goodluck Gosbert
Huyu huyu goodluck muimba gospelMoyo mashine si imeandikwa na Goodluck Gosbert
[emoji15] [emoji15] [emoji15]ndo huyo huyo anaitwa lollipop hilo analitumia kwenye nyimbo zake za gospel
Haha ndo yeyeHuyu huyu goodluck muimba gospel
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani unakuwa na demu unajisifia afu kumbe unajua ni cha wote. Haya kaka tunasubili mwishowakeMpk wa kina sudi wakakimbia pale aliposema naji n cha wotee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Baraka ni popompo sana na kiba ni mnafiki kabisa